Idea debators

Idea debators

Augustin Ruta

New Member
Joined
May 28, 2020
Posts
1
Reaction score
3
Habari wakuu.

Kwa yoyote mwenye uelewa kuhusiana na hii platform ya IDEA DEBATERS inayotrend sana mtandaoni. Naomba ufafanuzi zaidi ya namna inavyofanya kazi na usalama wake wa kuinvest izo pesa ukoje.

Asanteee
 
Habari wakuu.

Kwa yoyote mwenye uelewa kuhusiana na hii platform ya IDEA DEBATERS inayotrend sana mtandaoni. Naomba ufafanuzi zaidi ya namna inavyofanya kazi na usalama wake wa kuinvest izo pesa ukoje.

Asanteee
Nitajaribu kukuelezea kutokana na uelewa wangu, kwanza issue ya usalama wa pesa zako hakuna mtu atakupa jibu la uhakika maana pesa zako unaweka kwao na unakuwa huna mandatory nazo tena, kwahiyo Hadi unaamua kuweka pesa yako basi uwe umekubali yote, maana ume risk na chochote kinaweza kutokea

Me Kwa mara ya Kwanza naskia kuhusu hii issue alinambia jamaa yangu, baada ya kumskiliza niligundua kuwa ni kweli pesa IPO ila kuipoteza pia ni dakika sifuri, ila niliamua kujilipua Tu Kwakuwa nilikuwa na shida na pesa ya haraka

Hawa jamaa wao wanadai wanadeal na kutangaza matangazo mitandaoni, kwahiyo makampuni yanayofanya biashara za mitandaoni kama vile eBay, Amazon nk, yanatoa pesa kwa ajili ya watu kuangalia matangazo ya bidhaa zao na kupandisha rates za bidhaa zao hivo kupandisha thamani, kwahiyo we ukiingia Amazon unakuta bidhaa ina rate ya 5 star kumbe ni fake

Unachofanya ni kujiunga na hiyo IDEA kisha unatakiwa kuwekeza kiwango cha pesa ambacho we utakuwa unalipwa Kwa % kulingana na kiasi ulichowekeza na level uliyopo, kuna level 1,2,3,4,5 na 6

Kwa level 1 unatakiwa kuweka pesa kuanzia 10000-199999, unapewa matangazo ambayo wao huita Task, kwahiyo unapewa task 20 kila siku utazame, mfano ukiweka 50000 utaanza kulipwa 5% ya pesa yako, kwahiyo Kwa siku utaanza kupata 2500, na kwakuwa kesho utakuwa na 52500 kwahiyo utalipwa 5% ya kiasi hicho, Kwa lugha rahisi kila siku kiwango chako kitapanda

Na hiyo sio njia pekee ya wewe kujipatia pesa, njia ingine ni kupitia kualika watu wengine ili washiriki kwenye huo Mchongo na kila ambae utamualika kupitia link yako atakuwa anakuchangia, mwanzo ilikuwa kwa kila unaemualika wanakupa 2000 na aliealikwa anapata 1000, saiz hiyo offer imeisha ispokuwa utapata hela endapo huyo mtu ataweka pesa na kuwa anafanya task zake kila siku we unapata commission ya 12% ya pesa yake aliyowekeza, na yeye akiunga mtu mwingine we unaendelea kupata commission ya 4%

Njia ingine ya kupata pesa ni Kwa wewe kupanda daraja/levels, ukitoka level 1 kwenda 2 unapata 5000, na level 2 kwenda 3 unapata 10000 na 3 kwenda level 4 unapata 20000, kumbuka kuwa kuna vigezo vya kupanda hizo levels, kutokana na kiasi cha pesa unachoweka na idadi ya watu uliowaunga

Unaweza kutoa pesa Kwa kutumia account ya bank au simu ya mkononi na pesa yako utaipata kuanzia masaa 0-72, kwahiyo unaweza kutoa Leo hela yako ukaipata kesho ni kawaida, Hadi hivi sasa hakuna mtu aliepigwa kwahiyo kama utaamua kujiunga basi jiunge at your own risk

Kwa hayo machache kama umeelewa na kushawishika kujaribu basi weka pesa ambayo ni kama Ile ambayo unabetia, kwamba ukose au upate haina Athari hasi kwako, me nilianza na 130k trh 9 Hadi Leo nina 490k na kesho nategemea kuingia level 3 ili nianze kulipwa 7% ya pesa yangu Kwa siku

na kuna account tuliungana watu wa3 kila mmoja akaweka 250k na Juzi tumetoa 1.5M na kupiga mgao, lengo ilikuwa ni kurudisha pesa zetu na faida ndani ya muda mfupi ili ata tukipigwa tuwe hatuna hasara

Kama unataka kujaribu then jaribu kupitia hiyo link, hope Kwa maelezo haya unaweza kuwa umepata mwanga angalau
 
Nitajaribu kukuelezea kutokana na uelewa wangu, kwanza issue ya usalama wa pesa zako hakuna mtu atakupa jibu la uhakika maana pesa zako unaweka kwao na unakuwa huna mandatory nazo tena, kwahiyo Hadi unaamua kuweka pesa yako basi uwe umekubali yote, maana ume risk na chochote kinaweza kutokea

Me Kwa mara ya Kwanza naskia kuhusu hii issue alinambia jamaa yangu, baada ya kumskiliza niligundua kuwa ni kweli pesa IPO ila kuipoteza pia ni dakika sifuri, ila niliamua kujilipua Tu Kwakuwa nilikuwa na shida na pesa ya haraka

Hawa jamaa wao wanadai wanadeal na kutangaza matangazo mitandaoni, kwahiyo makampuni yanayofanya biashara za mitandaoni kama vile eBay, Amazon nk, yanatoa pesa kwa ajili ya watu kuangalia matangazo ya bidhaa zao na kupandisha rates za bidhaa zao hivo kupandisha thamani, kwahiyo we ukiingia Amazon unakuta bidhaa ina rate ya 5 star kumbe ni fake

Unachofanya ni kujiunga na hiyo IDEA kisha unatakiwa kuwekeza kiwango cha pesa ambacho we utakuwa unalipwa Kwa % kulingana na kiasi ulichowekeza na level uliyopo, kuna level 1,2,3,4,5 na 6

Kwa level 1 unatakiwa kuweka pesa kuanzia 10000-199999, unapewa matangazo ambayo wao huita Task, kwahiyo unapewa task 20 kila siku utazame, mfano ukiweka 50000 utaanza kulipwa 5% ya pesa yako, kwahiyo Kwa siku utaanza kupata 2500, na kwakuwa kesho utakuwa na 52500 kwahiyo utalipwa 5% ya kiasi hicho, Kwa lugha rahisi kila siku kiwango chako kitapanda

Na hiyo sio njia pekee ya wewe kujipatia pesa, njia ingine ni kupitia kualika watu wengine ili washiriki kwenye huo Mchongo na kila ambae utamualika kupitia link yako atakuwa anakuchangia, mwanzo ilikuwa kwa kila unaemualika wanakupa 2000 na aliealikwa anapata 1000, saiz hiyo offer imeisha ispokuwa utapata hela endapo huyo mtu ataweka pesa na kuwa anafanya task zake kila siku we unapata commission ya 12% ya pesa yake aliyowekeza, na yeye akiunga mtu mwingine we unaendelea kupata commission ya 4%

Njia ingine ya kupata pesa ni Kwa wewe kupanda daraja/levels, ukitoka level 1 kwenda 2 unapata 5000, na level 2 kwenda 3 unapata 10000 na 3 kwenda level 4 unapata 20000, kumbuka kuwa kuna vigezo vya kupanda hizo levels, kutokana na kiasi cha pesa unachoweka na idadi ya watu uliowaunga

Unaweza kutoa pesa Kwa kutumia account ya bank au simu ya mkononi na pesa yako utaipata kuanzia masaa 0-72, kwahiyo unaweza kutoa Leo hela yako ukaipata kesho ni kawaida, Hadi hivi sasa hakuna mtu aliepigwa kwahiyo kama utaamua kujiunga basi jiunge at your own risk

Kwa hayo machache kama umeelewa na kushawishika kujaribu basi weka pesa ambayo ni kama Ile ambayo unabetia, kwamba ukose au upate haina Athari hasi kwako, me nilianza na 130k trh 9 Hadi Leo nina 490k na kesho nategemea kuingia level 3 ili nianze kulipwa 7% ya pesa yangu Kwa siku

na kuna account tuliungana watu wa3 kila mmoja akaweka 250k na Juzi tumetoa 1.5M na kupiga mgao, lengo ilikuwa ni kurudisha pesa zetu na faida ndani ya muda mfupi ili ata tukipigwa tuwe hatuna hasara

Kama unataka kujaribu then jaribu kupitia hiyo link, hope Kwa maelezo haya unaweza kuwa umepata mwanga angalau
Wana kawaida ya kufanya watu sample ili waaminike kwa watu wengi ili baadae wakishawakusanya wengi wanapiga mpunga mrefu wanaawaacha watu na majonzi ko Watu wagake care.

Ndo Biashara izo zilivo, watajitoa kafara kwa watu 100 na kuwapa ela ila wanakuja kusepa na watu elfu 10 na matilion ya ela

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Wa kwanza kula wa mwisho kuliwa ndiyo formula yao
Yah ukiwa wa mwisho tatizo maaba kuna muda wa platform kupotea na ndo kazi inaishia hapo halafu inazinduliwa nyingine na watu wale wale wanawazunguka bila nyinyi kujua , hii michezo wanafanya watu wenye akili ya kusaka pesa kuwapiga wenye low IQ
 
Yah ukiwa wa mwisho tatizo maaba kuna muda wa platform kupotea na ndo kazi inaishia hapo halafu inazinduliwa nyingine na watu wale wale wanawazunguka bila nyinyi kujua , hii michezo wanafanya watu wenye akili ya kusaka pesa kuwapiga wenye low IQ
Na watu hawaachi, eti kukamilisha order 🤣🤣 nawaambia kioa siku order hazikamilishwi hivi
 
Yah ukiwa wa mwisho tatizo maaba kuna muda wa platform kupotea na ndo kazi inaishia hapo halafu inazinduliwa nyingine na watu wale wale wanawazunguka bila nyinyi kujua , hii michezo wanafanya watu wenye akili ya kusaka pesa kuwapiga wenye low IQ
Mtu mwenye high IQ anapimwaje mkuu?
 
Natabiri kabla mwaka haujaisha kuna watu watashukiwa na kitu kizito vichwani mwao.

These mada..fakas never learn.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wana kawaida ya kufanya watu sample ili waaminike kwa watu wengi ili baadae wakishawakusanya wengi wanapiga mpunga mrefu wanaawaacha watu na majonzi ko Watu wagake care.

Ndo Biashara izo zilivo, watajitoa kafara kwa watu 100 na kuwapa ela ila wanakuja kusepa na watu elfu 10 na matilion ya ela

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Hii ukiwa mtu gambler unatakiwa kujua vizuri kabisa kuwa jamaa wanatuwinda, so wakati wao wanapiga hesabu zao nawewe uwe unapiga hesabu zako

Na hesabu za kupiga wewe ni kulazimisha kuwa mtu wa mwanzo, ukiona muda umesogea kidogo tangu umeskia Mchongo we achana nao Tu, maana ukiingia late unakuta nawao ndo hesabu zao zimekubali

Mie sikuwahi wala sikuchelewa, na Hadi sasa ata wanipige siwazi maana wanatakuwa wamepiga pesa zao, kipindi me naskia kuhusu hii issue nili share na Wana ila wakanizodoa ahh me nikawatema

Wakawa wamechili wanasubiri nipigwe ili wanicheke vizuri, ila Mungu sio Athumani baada ya kukaa Kwa pressure zaidi ya week 1 tukafanikiwa kutoa 1.5M ndo washakji wanakuja dahhh kumbe kweli, Naomba basi unielekeze sijui yalienda yakarudi

me nikawambia saiz sio muda mwafaka wa raia mpya kuingia maana hawa jamaa muda wowote watatupiga maana washapata pata watu, kwahiyo hizi issue ukiwa wa Kwanza Kwanza unapiga mpunga wako vizuri tu kimbembe ukichelewa, me kuna mwana namjua yeye Hadi saiz kashapiga zaidi ya 5M na alianza April tu

"If you must play, decide upon three things at the start: the rules of the game, the stake, and the quitting time.”
 
Hii ukiwa mtu gambler unatakiwa kujua vizuri kabisa kuwa jamaa wanatuwinda, so wakati wao wanapiga hesabu zao nawewe uwe unapiga hesabu zako

Na hesabu za kupiga wewe ni kulazimisha kuwa mtu wa mwanzo, ukiona muda umesogea kidogo tangu umeskia Mchongo we achana nao Tu, maana ukiingia late unakuta nawao ndo hesabu zao zimekubali

Mie sikuwahi wala sikuchelewa, na Hadi sasa ata wanipige siwazi maana wanatakuwa wamepiga pesa zao, kipindi me naskia kuhusu hii issue nili share na Wana ila wakanizodoa ahh me nikawatema

Wakawa wamechili wanasubiri nipigwe ili wanicheke vizuri, ila Mungu sio Athumani baada ya kukaa Kwa pressure zaidi ya week 1 tukafanikiwa kutoa 1.5M ndo washakji wanakuja dahhh kumbe kweli, Naomba basi unielekeze sijui yalienda yakarudi

me nikawambia saiz sio muda mwafaka wa raia mpya kuingia maana hawa jamaa muda wowote watatupiga maana washapata pata watu, kwahiyo hizi issue ukiwa wa Kwanza Kwanza unapiga mpunga wako vizuri tu kimbembe ukichelewa, me kuna mwana namjua yeye Hadi saiz kashapiga zaidi ya 5M na alianza April tu

"If you must play, decide upon three things at the start: the rules of the game, the stake, and the quitting time.”
Yes upo sahihi kwenye pryramid scheme ukiwa wa mwanzo unapiga pesa
 
Kuna hawa wanaolipa watu kwa kupitia WhatsApp Status Viewers, na kualika watu hii imekaaje nayo Wakuu??
 
JamiiForums mnapaswa muwe wakali na kupiga ban akaunti zote zinazohamasisha Ponzi Scheme ambazo mwishowe zinaishia kuwatapeli watu kama hii idea debater.
Watu washaliwa tayari kilichobaki ni vilio.

Active na mamod wengine man jukumu la kuwalinda watumiaji WA jf Kwa kuziondoa threads za Ponzi schemes
 
Back
Top Bottom