Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,494
- 21,269
Naona mara kwa mara watu wamekuwa wakiwashindanisha "Mtoto Iddi" -------Sir Nature na "Selemani" ---------Mboso kwamba nani zaidi.
Achaneni kabisa na huyo mtoto Iddi ameshindikanika kabisa huyu mtoto. Miongoni mwa visa vyake na mikasa.
Tuje kwa huyo Selemani
😂😂😂😂😂😂😂Sasa watu hawa mnawafananisha vipi?
Sele huyo ni mdananda tu hana maajabu asilinganishwe kabisa na mtoto mtukutu Iddi Hamidu
Achaneni kabisa na huyo mtoto Iddi ameshindikanika kabisa huyu mtoto. Miongoni mwa visa vyake na mikasa.
- Kumkata makonde baba yake mzazi ni jambo la kawaida sana.
- Ana kesi kadhaa za mauaji.
- Ana kesi kadhaa za wizi sio chini ya 26 na kila akipelekwa polisi anatoka mpaka wananchi wakamuwekea mtego maana walikuwa wameshamchoka.
- Ni tapeli aliyekubuhu .
- Akienda na pesa baa hakubali kuingia hasara kurudi mikono mitupu atatega mingo asubiri watu walewe awaibie kirahisi.
- Ni bingwa wa kupenya madirishani kuiba .
- Mlevi ,mvuta bangi.
- Mgomvi mgomvi.
- Amepigwa mapanga mara kadhaa lakini bado habadiriki.
- Sura yake inatosha sana (sura kibandidu) ukimuona tu huulizi mara mbili mbili kama dogo ni mtu wa matukio .
Tuje kwa huyo Selemani
- Mvuta Shisha
- Mvuta mirungi
- Mvuta bangi
- Mlevi
- Kuwadi
😂😂😂😂😂😂😂Sasa watu hawa mnawafananisha vipi?
Sele huyo ni mdananda tu hana maajabu asilinganishwe kabisa na mtoto mtukutu Iddi Hamidu