Inaonekana siku hizi mtu maisha yakimshinda anakimbilia siasa na CHADEMA ndiyo kichaka wanachoenda kujifichia.
Kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kutumia kura zetu tutawafurumusha wote kutoka huko kichakani ili wakafanye kazi taifa lisonge mbele.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums