Idara ya Usalama wa Taifa haiko chini ya Mwigulu, hawezi kuitolea kauli!

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,437
14,927
Mwigulu anasimamia majeshi yafuatayo
1.Polisi
2.Magereza
3.Zimamoto
4.uhamiaji

Kwenye utekaji, waliotekwa wote hawakupatikana maeneo anayoyaongoza kwa maana ya vituo vya polisi,wasanii walitembelea vituo vyote hawakuwakuta

Aliyemtishia Nape si askari aliye chini ya wizara ya mwigulu.

Waliowakamata akina bashe na msukuma, kama Maelezo ni kwamba ni maafisa usalama, hawako chini ya mwigulu kwa maana ya wizara ya mambo ya ndani.

Idara ya usalama iko chini ya Ofisi ya Waziri anayehusika na utawala bora,kama ni kweli ndiyo inatuhumiwa kufanya hayo.

Upande wa mwigulu kwa maana ya Waziri wa mambo ya ndani,IGP na ma RPC tuwatafutie kosa jingine

Lizaboni anadai eti mwigulu ndiye anampa maneno bashe,atayatolea wapi wakati haongozi idara hiyo
 
Wewe hujui sisi hapa tunataka serikali isambaratike ili sisi chadema tuchukue usukani kiulaini kupitia Mh Lowassa.Huoni hata wabunge wote walioko kambi ya Lowasa na Membe chini ya uongozi shupavu wa Lizone Kikwete, Bashe,na Nape wote wameungana n UKAWA ili tuibomoe serikali..Sasa wewe CHADEMA mwenzangu Ipalamasa unataka kuharibu.Kwani nchemba akifukuwa huoni upande wetu utaongeza Masahbiki

Mwigulu anasimamia majeshi yafuatayo
1.polisi
2.magereza
3.zimamoto

Kwenye utekaji,waliotekwa wote hawakupatikana maeneo anayoyaongoza kwa maana ya vituo vya polisi,wasanii walitembelea vituo vyote hawakuwakuta

Aliyemtishia nape si askari aliye chini ya wizara ya mwigulu.

Waliowakamata akina bashe na msukuma,kama Maelezo ni kwamba ni maafisa usalama,hawako chini ya mwigulu kwa maana ya wizara ya mambo ya ndani.

Idara ya usalama iko chini ya Ofisi ya Waziri anayehusika na utawala bora,kama ni kweli ndiyo inatuhumiwa kufanya hayo.

Upande wa mwigulu kwa maana ya Waziri wa mambo ya ndani,IGP na ma RPC tuwatafutie kosa jingine
 
wewe mpuuzi sana, hujui sisi hapa tunataka serikali isambaratike ili sisi chadema tuchukue usukani kiulaini kupitia Mh Lowassa.Huoni hata wabunge wote walioko kambi ya Lowasa na Membe chini ya uongozi shupavu wa Lizone Kikwete, Bashe,na Nape wote wameungana n UKAWA ili tuibomoe serikali..Sasa wewe CHADEMA mwenzangu Ipalamasa unataka kuharibu.Kwani nchemba akifukuwa huoni upande wetu utaongeza Masahbiki
Abaki humo humo asitoke,
 
Mwigulu anasimamia majeshi yafuatayo
1.polisi
2.magereza
3.zimamoto

Kwenye utekaji,waliotekwa wote hawakupatikana maeneo anayoyaongoza kwa maana ya vituo vya polisi,wasanii walitembelea vituo vyote hawakuwakuta

Aliyemtishia nape si askari aliye chini ya wizara ya mwigulu.

Waliowakamata akina bashe na msukuma,kama Maelezo ni kwamba ni maafisa usalama,hawako chini ya mwigulu kwa maana ya wizara ya mambo ya ndani.

Idara ya usalama iko chini ya Ofisi ya Waziri anayehusika na utawala bora,kama ni kweli ndiyo inatuhumiwa kufanya hayo.

Upande wa mwigulu kwa maana ya Waziri wa mambo ya ndani,IGP na ma RPC tuwatafutie kosa jingine


Lizaboni anadai eti mwigulu ndiye anampa maneno bashe,atayatolea wapi wakati haongozi idara hiyo
Kwani leo Mange anapotoa habari za TISS au habari anazoziita yeye (habari za ndani) yeye ni DG wa TISS?
 
Mwigulu anasimamia majeshi yafuatayo
1.polisi
2.magereza
3.zimamoto

Kwenye utekaji,waliotekwa wote hawakupatikana maeneo anayoyaongoza kwa maana ya vituo vya polisi,wasanii walitembelea vituo vyote hawakuwakuta

Aliyemtishia nape si askari aliye chini ya wizara ya mwigulu.

Waliowakamata akina bashe na msukuma,kama Maelezo ni kwamba ni maafisa usalama,hawako chini ya mwigulu kwa maana ya wizara ya mambo ya ndani.

Idara ya usalama iko chini ya Ofisi ya Waziri anayehusika na utawala bora,kama ni kweli ndiyo inatuhumiwa kufanya hayo.

Upande wa mwigulu kwa maana ya Waziri wa mambo ya ndani,IGP na ma RPC tuwatafutie kosa jingine


Lizaboni anadai eti mwigulu ndiye anampa maneno bashe,atayatolea wapi wakati haongozi idara hiyo
Lizabon keshachanganyikiwa kila siku ni kupiga fitna na kuongea mambo ya ajabu utafikir anaumwa tumbo la kuhara
 
Mwigulu anasimamia majeshi yafuatayo
1.polisi
2.magereza
3.zimamoto

Kwenye utekaji,waliotekwa wote hawakupatikana maeneo anayoyaongoza kwa maana ya vituo vya polisi,wasanii walitembelea vituo vyote hawakuwakuta

Aliyemtishia nape si askari aliye chini ya wizara ya mwigulu.

Waliowakamata akina bashe na msukuma,kama Maelezo ni kwamba ni maafisa usalama,hawako chini ya mwigulu kwa maana ya wizara ya mambo ya ndani.

Idara ya usalama iko chini ya Ofisi ya Waziri anayehusika na utawala bora,kama ni kweli ndiyo inatuhumiwa kufanya hayo.

Upande wa mwigulu kwa maana ya Waziri wa mambo ya ndani,IGP na ma RPC tuwatafutie kosa jingine


Lizaboni anadai eti mwigulu ndiye anampa maneno bashe,atayatolea wapi wakati haongozi idara hiyo
Anatakiwa aitolee kauli kwa sababu police ndio wana jukumu la kulinda raia.. Halafu kumbuka police walikuwepo pale oysterbay nape alipotishiwa bastola lakini yule MTU hajashikwa mpaka leo
 
Mwigulu anasimamia majeshi yafuatayo
1.Polisi
2.Magereza
3.Zimamoto

Kwenye utekaji, waliotekwa wote hawakupatikana maeneo anayoyaongoza kwa maana ya vituo vya polisi,wasanii walitembelea vituo vyote hawakuwakuta

Aliyemtishia Nape si askari aliye chini ya wizara ya mwigulu.

Waliowakamata akina bashe na msukuma, kama Maelezo ni kwamba ni maafisa usalama, hawako chini ya mwigulu kwa maana ya wizara ya mambo ya ndani.

Idara ya usalama iko chini ya Ofisi ya Waziri anayehusika na utawala bora,kama ni kweli ndiyo inatuhumiwa kufanya hayo.

Upande wa mwigulu kwa maana ya Waziri wa mambo ya ndani,IGP na ma RPC tuwatafutie kosa jingine

Lizaboni anadai eti mwigulu ndiye anampa maneno bashe,atayatolea wapi wakati haongozi idara hiyo
Umesahau Uhamiaji.
 
Kwanini walienda kuripoti polisi?

Na nani ya polisi yanamuhusu?

Huwezi kusema ni usalama wa taifa kwasababu hata ambo hawakuonekana kwa siku 4 na kurudi hawajasema ni wao.

Muache kutunga udaku.
 
Nakubaliana na mtoa posti, matukio hayo yamefanywa na tiiisss.
Taasisi hii ipo kwa kairuki.
Tatizo kubwa lililopo ni kwamba ofisi hizi za rais, simbachawene na kairuki, Ngosha mwenyewe ndie anayeziongoza.
Kimsingi hawa Mawaziri wangeondoleea hawafanyi kazi they are so desperate ,kimsingi jamaa kawabana maamuzi yote makubwa ya wizara hizo anayafanya yeye, yaani hao mawaziri wapowapo tu ilimradi they earn a living.
 
Magamba yanapandana vichwani. Hadi litakapohitimishwa bunge la bajeti tutaona na kusikia mengi.
 
Kwanini walienda kuripoti polisi?

Na nani ya polisi yanamuhusu?

Huwezi kusema ni usalama wa taifa kwasababu hata ambo hawakuonekana kwa siku 4 na kurudi hawajasema ni wao.

Muache kutunga udaku.

Hivi unajua unachefua watu humu ndani?
 
Mwigulu anasimamia majeshi yafuatayo
1.Polisi
2.Magereza
3.Zimamoto
4.uhamiaji

Kwenye utekaji, waliotekwa wote hawakupatikana maeneo anayoyaongoza kwa maana ya vituo vya polisi,wasanii walitembelea vituo vyote hawakuwakuta

Aliyemtishia Nape si askari aliye chini ya wizara ya mwigulu.

Waliowakamata akina bashe na msukuma, kama Maelezo ni kwamba ni maafisa usalama, hawako chini ya mwigulu kwa maana ya wizara ya mambo ya ndani.

Idara ya usalama iko chini ya Ofisi ya Waziri anayehusika na utawala bora,kama ni kweli ndiyo inatuhumiwa kufanya hayo.

Upande wa mwigulu kwa maana ya Waziri wa mambo ya ndani,IGP na ma RPC tuwatafutie kosa jingine

Lizaboni anadai eti mwigulu ndiye anampa maneno bashe,atayatolea wapi wakati haongozi idara hiyo
Huyu Lizaboni Ni mzandiki sana,,,,
 
Back
Top Bottom