Tangu lini wakre wakathamini elimu, njoo mikoa inajua maana ya elimu hizo shida hamna kabisa. Ukiendelea kulalamika wata ku-Jerry Muro. hiyo ndo bagamoyo bana!Idara ya Elimu Sekondari imezidi ufisadi nusu ya walimu wapya hatujapata salary hadi sasa, hela zetu za kujikimu tumepewa nusu walimu wanasimamishiwa mishahara kienyeji na hela zinaliwa na deo na watumishi wengne wa halmashauri