Serikali zote za CCM zimekuwa ni kuhusu kupeana msosi na si kuleta maendeleo kwa wananchi binafsi sielewi majukumu hamna ya taasisi zifuatazo
Ewura
Sumatra
Tcra
Tira
Na hawa jamaa wa mifuko ya jamii ni dhahiri kuwa kodi zetu zinatumika watakavyo wao hawa majizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.