IDADI YA WALIO OMBA MKOPO

IDADI YA WALIO OMBA MKOPO

maharco

Senior Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
116
Reaction score
35
Hivi idadi ya walio omba mkopo ni wangapi? Na Raisi wetu naona kasema 25 elfu mbona kuna sehemu kuna idadi ya 88 elfu ndo walio omba au kipi sijaelewa
 
walioomba mkopo ni 88000 lakini wenye sifa za kwenda chuo ni 58000..ni kwa mujibu wa ndalichako
 
Ndalichako anasema watu wanapotosha wanafunzi waliokosa mikopo siyo 66000 Bali ni 33000 tu. Naona kama watu wanacelebrate hii inashangaza ina maana wanafunzi 33000 kukosa mkopo kati ya wanafunzi 58000 hili ni jambo la kufurahia? Hamuoni kuwa zaidi ya nusu ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza mwaka huu wanakosa mkopo.Hata hivyo data za ndalichako zina utata mkubwa sana kuna uwezekano waliokosa mkopo ni wengi zaidi ya hapo. Time will tell.
 
mwaka huu n vichekesho tu. Yan serikal haina hela alaf unanichanganya tu
 
Napata hasira pale ninapoambiwa not allocated na nimesoma government zote na nimepagwa chuo cha afya. Kuna maisha baada 2019 mkumbuke
 
Back
Top Bottom