Ibrahim Lipumba anafaa ubunge

Ibrahim Lipumba anafaa ubunge

KAYILAZ

Senior Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
195
Reaction score
30
Namshauri mzee wangu Lipumba arudi nyumbani Sikonge akagagombee ubunge ili apambane na mafisadi vizuri bungeni.

Namwamini Lipumba hoja zake ni za msingi sana,pia atatumia fursa ya kikatiba kuishauri serikali vizuri kama atakubali ushauri wangu.
 
Siyo lazima skonge hata Tabora mjini au jimbo lolote lile la Tabora anakubalika,
Lakini maamuzi ya mwisho yako ndani ya UKAWA
 
naunga mkono hoja agombee ubunge tu urais atausikia redioni
 
Tatizo wengi wanataka awe Raisi ,ngoja tuwasikilize wazee wa UN pengine watamuhitaji huko majuu.
 
fitina za ccm hawezi kuipambanisha. kuifarakanisha ukawa.
chokochoko zozote hazita fanikiwa kubomoa umoja huu ni mpango wa mungu kwa ajili ya ukombozi.
Ukawa tuna nia thabiti na ya dhati kuikomboa tanganyika na zanzibar dhidi ya mafisadi na wabadhirifu
 
Huyo anafaa kuwa mwenyekiti wa kafu tu

Hakuna kitu hapo zaidi ya mapovu tu
 
Namshauri mzee wangu Lipumba arudi nyumbani Sikonge akagagombee ubunge ili apambane na mafisadi vizuri bungeni.

Namwamini Lipumba hoja zake ni za msingi sana,pia atatumia fursa ya kikatiba kuishauri serikali vizuri kama atakubali ushauri wangu.

Nia yako mbaya umeishachagua mgombea wako wa uraisi na unataka kuwapangia wengine majukumu tofauti mi nashauri asitokee mgombea yeyote kutoka chadema kwa sababu hawana uzoefu wa kugombea kama Lipumba au unasemaje?
 
Nia yako mbaya umeishachagua mgombea wako wa uraisi na unataka kuwapangia wengine majukumu tofauti mi nashauri asitokee mgombea yeyote kutoka chadema kwa sababu hawana uzoefu wa kugombea kama Lipumba au unasemaje?
Dah nyinyi jamaa ni shidah
 
Back
Top Bottom