Watu hushindwa kuishi na wake au waume zao tokana na sababu mbalimbali...Na wengine huo/ olewa kwa dhumuni fulani Na si upendo .. Na vipi je kama wewe ndie aliepangiwa au we uliepangiwa..?Binafsi kama mtu ameachana na mkeo Mumeo sioni haja ya kumkandamiza na hilo Ili asipate mpenzi mwingine...Ili mradi awe loyal, trustworthy kwako...