Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,318
- 688
piga mzigo acha kuremba mwandiko usije tafutiwa sababu mzee akakutimua home.
Eheee wewe ndani ya new millennium bado unauliza kondom ?watu siku hizi wanatumia njia isiyoleta mimba kabisa, hakuna tena kutaharuki kama zamani.
Mmmmmhhhhh sijaelewa hapa....njia ipi hiyo?
aisifiae mvua. . . .