cjuilakini
Member
- Apr 1, 2013
- 23
- 4
katika ukoo wangu mimi ndo mtu wa kwanza kumaliza elimu ya chuo kikuu, nanimefanya application zaidi ya miamoja sijabahatika kupata ajira wala kuitwa kwenye interview hata moja, hapa nilipo maisha yangu ni magumu sana na nipo dar es salaam naishi kwandugu nikiwa naendelea kutafuta ajira, hadi naamua kuandika hapa hali ni mbaya sana na sina alternative nyingine kwani niliamini kwakumaliza kwangu shuleni nitaweza kuwasaidia wa nyuma yangu lakini hadi sasa naona nikama ndoto kwangu kufanya hivyo. Sina ndugu yeyote ambaye labda ni mfanya kazi ktk kampuni wala sehemu nyingine yeyote ambaye angeweza au ataweza kunisaidia. NINA DEGREE YA ACCOUNTING, NAOMBA MSAADA KWAYEYOTE ANAYEWEZA KUNISAIDIA NIWEZE KUPATA AJIRA.
Email yangu ni mkjady@hotmail.com
shukrani kwako uliyeweza kusoma na kunielewa
Email yangu ni mkjady@hotmail.com
shukrani kwako uliyeweza kusoma na kunielewa