Uliwezaje kuacha tabia ya kula kucha?
Nakumbuka nilianza kula kucha kutokana na aibu nliokua nayo kipindi iko ila kwa bahati mbaya ndo ikawa tabia yangu adi leo
Nimejaribu kuacha kwa mbinu tofauti tofauti ila bado hollah nascore 0
Kwa kifupi kucha zangu zimepoteza adi mwonekano
Ambae Alikua na tatizo hili alijiondoa vp?
Tupeane mbinu asee