Ni PM fasta tafadhali tukutane kwanza ili tu testiane kujua tunaweza kumatch. Nina mke na watoto 10, nipo serious kabisa na wewe utakuwa mke wa pili a.k.a Bi mdogo.
CV. Nina elimu ya chuo kikuu ya postgraduate, nina uzoefu wa kuwa kwenye ndoa kwa miaka 10, nina uwezo wa kumpa mimba mwanamke kwa kadiri ya anavyotaka, nina uzoefu wa kutunza mke na watoto.
Karibu sana.