W Walas Ba JF-Expert Member Joined Sep 6, 2012 Posts 3,393 Reaction score 1,734 Dec 21, 2013 #41 Upo wapi kwani bibie
tinna cute JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 4,630 Reaction score 2,310 Dec 21, 2013 #42 Aunty kemmy said: Am a single girl searching for a guy ambaye anajielewa, mrefu, msafi, well educated, mwenye ambitions, pia awe mkristo. awe na umri btn 28 en 32. Click to expand... Hujampata jamani??? Utupe feedback
Aunty kemmy said: Am a single girl searching for a guy ambaye anajielewa, mrefu, msafi, well educated, mwenye ambitions, pia awe mkristo. awe na umri btn 28 en 32. Click to expand... Hujampata jamani??? Utupe feedback
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,902 Reaction score 9,323 Dec 22, 2013 #43 Stina said: Umri ni 28-32. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Pretta ulipiga chini ama? Click to expand... Mhm Preta tunaye miaka mingi hivyo yeye ana neno na uke wenza!
Stina said: Umri ni 28-32. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Pretta ulipiga chini ama? Click to expand... Mhm Preta tunaye miaka mingi hivyo yeye ana neno na uke wenza!
S Stina Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17 Reaction score 3 Dec 22, 2013 #44 KakaKiiza said: Mhm Preta tunaye miaka mingi hivyo yeye ana neno na uke wenza! Click to expand... Ngoja mwenyewe aje hapa aseme. Utatuweza sote? Mapenzi na matunzo.
KakaKiiza said: Mhm Preta tunaye miaka mingi hivyo yeye ana neno na uke wenza! Click to expand... Ngoja mwenyewe aje hapa aseme. Utatuweza sote? Mapenzi na matunzo.
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,902 Reaction score 9,323 Dec 22, 2013 #45 Stina said: Ngoja mwenyewe aje hapa aseme. Utatuweza sote? Mapenzi na matunzo. Click to expand... Wewe njoo hakuna haja yakuuliza mwingine wewe kwa akiri yako unadhani akija hapa atakujibu unavyotaka?/ni nani anataka keki yake kuigawa mara mbili??
Stina said: Ngoja mwenyewe aje hapa aseme. Utatuweza sote? Mapenzi na matunzo. Click to expand... Wewe njoo hakuna haja yakuuliza mwingine wewe kwa akiri yako unadhani akija hapa atakujibu unavyotaka?/ni nani anataka keki yake kuigawa mara mbili??
S Stina Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17 Reaction score 3 Dec 22, 2013 #46 KakaKiiza said: Wewe njoo hakuna haja yakuuliza mwingine wewe kwa akiri yako unadhani akija hapa atakujibu unavyotaka?/ni nani anataka keki yake kuigawa mara mbili?? Click to expand... Ukewenza mkijuana na kukubaliana ni vizuri, maana tutakuhudumia ipasavyo. Hujajibu swali langu. Upo tayari kutuhudumia sote? PM me ur no.
KakaKiiza said: Wewe njoo hakuna haja yakuuliza mwingine wewe kwa akiri yako unadhani akija hapa atakujibu unavyotaka?/ni nani anataka keki yake kuigawa mara mbili?? Click to expand... Ukewenza mkijuana na kukubaliana ni vizuri, maana tutakuhudumia ipasavyo. Hujajibu swali langu. Upo tayari kutuhudumia sote? PM me ur no.
bazoka JF-Expert Member Joined Mar 18, 2013 Posts 300 Reaction score 141 Dec 22, 2013 #47 Mie nipo ni PM tujuzane fresh ila na wewe mzuri sio nikute kituko kama betina wa kwenye sani..
S Stina Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17 Reaction score 3 Dec 22, 2013 #48 bazoka said: Mie nipo ni PM tujuzane fresh ila na wewe mzuri sio nikute kituko kama betina wa kwenye sani.. Click to expand... Mmmh... wamwambia nani. Alotoa mada original au mie?
bazoka said: Mie nipo ni PM tujuzane fresh ila na wewe mzuri sio nikute kituko kama betina wa kwenye sani.. Click to expand... Mmmh... wamwambia nani. Alotoa mada original au mie?
dotnet JF-Expert Member Joined Mar 5, 2013 Posts 393 Reaction score 153 Dec 22, 2013 #50 Ni-PM habari yote ninayo