ya mufindi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 573
- 903
Kama upo tayari ni Pm nitakupigia it is not a joke
Wanakuja
hapana mkuu me ndo nipo namalizia degree nataka nianze maisha kabisaHii ni tamaa tu bas hakuna lolote .. Ukishamgegeda tu basi tupa kule
hapana mkuu me ndo nipo namalizia degree nataka nianze maisha kabisa
hapana mkuu me ndo nipo namalizia degree nataka nianze maisha kabisa
kuwa makini huku wapo wengi wanatakao kuhoji na kutaka kujua kazi yako, rank, mshahara, kama una nyumba na gari. Ukimwambia huna unasikia eti kila la heri utampata tu umpendaye. wanajinadi tena kama bidhaa nyingine tena bila aibu anajinadi eti sitaki mtu bahili.. kwani imeandikwa wapi wewe unatakiwa kuhudumiwa kama mlemavu?