Pole dear, May this song bring confort to you, by its self is ach a powerful prayer.
CC: platozoom, Karucee, BAK, nameless girl, King'asti,https://www.jamiiforums.com/member.php?u=20070 et al.
Cc:
Aisee Smile u guys mmenifanya nimpigie mama yangu simu asubuhi yote hii mpaka ameshangaa....we should never take these moments for granted i see. Alafu kweli jana ilikuwa Kantate Domino ila mi nlitoroka saa tatu aisee...ooops!!!
Mara ya mwisho kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala matunda hayo kwa furaha na tabasamu. Kumbe lilikua tabasamu lako la mwisho mimi kuliona. Alafu ukaondoka bila kutuaga, nilielewa kuwa hukutaka kututia hofu, kwani ulidhani utarudi. Haikuwa ivyo. Ulienda moja kwa moja. Hukurudi tena.
Miaka 9 sasa imepita bila uwepo wako. Ni ngumu kuishi bila wewe lakini naamini siku zote uko pembeni yangu ukinisupport kwa yote niyafanyayo. Nimemic sana kuita mama, bt l cnt act calling mama while l wanna col you n not any other mamas.
l love u so much n l will always do.
Mic u mama.
ubarikiwe sana ndugu yangu.najiamini mimi nipo strong.ila kwa hili naona kama napoteza nguvu kila siku.kama leo nimelia ibada nzima cause leo ni siku ya uimbaji kwaya ya kina mama ilikuwa inaimba yaani i wish she was there.wamenikumbusha mbali sana.sijui hata nifanyeje tena.
ram what is your family song? I thought ni sisi peke yetu tuliokuwa na family song.Smile hauko peke yako mamangu, ni kweli wameondoka tukiwa bado tunawahitaji sana, lakini mambo yote ni mipango ya Mungu, huwa napata nguvu sana niaposoma maandiko matakatifu, yanaifariji na kunitia nguvu sana. Mamangu pia alikuwa akiimba kwaya ya wamama so kwa mfano siku kama ya jana kantante domino kwanza tungeimba wimbo wa familia, lol! Lakini tunayaweza mambo yote katika yeye atutiae nguvu, nafarijika sana pia nikisoma zaburi ya 121
ram what is your family song? I thought ni sisi peke yetu tuliokuwa na family song.
Ours was an English song ambao mama na baba wanaupenda sana...
[FONT=Verdana,Tahoma,Arial,Helvetica,sans-serif][SIZE=-1]"I know who holds the future,
And I know who holds my hand,
With God things don't just happen,
Everything by Him is planned;
So as I face tomorrow
With its problems large and small,
I'll trust the God of miracles-
Give to Him my all."[/SIZE][/FONT]
Mara ya mwisho kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala matunda hayo kwa furaha na tabasamu. Kumbe lilikua tabasamu lako la mwisho mimi kuliona. Alafu ukaondoka bila kutuaga, nilielewa kuwa hukutaka kututia hofu, kwani ulidhani utarudi. Haikuwa ivyo. Ulienda moja kwa moja. Hukurudi tena.
Miaka 9 sasa imepita bila uwepo wako. Ni ngumu kuishi bila wewe lakini naamini siku zote uko pembeni yangu ukinisupport kwa yote niyafanyayo. Nimemic sana kuita mama, bt l cnt act calling mama while l wanna col you n not any other mamas.
l love u so much n l will always do.
Mic u mama.
Mara nyingi tulikuwa tunaimba nyimbo ya kilugha au tulikuwa tunachagua wimbo katika mwimbieni Bwana/Tumwabudu Mungu wetu tunaimba kwa lugha yetu
Kilugha chenu ni kipi!??:confused3:
Sisi tuliimba kilugha sikuku za Christmas na Mwaka mpya jamani...ule wimbo wa Mwimbieni Bwana namba 1 naujua wote...kwa kichagga!!!
Kinyiramba aise, bonafsi napenda wachaga wakiimba ule wimbo Maskini Barthmayo kwa kichaga lol! Jana makabila hayakuimba muda ulikuwa mdogo coz kulikuwa pia na ibada ya kumuingiza kazini askofu msaidizi
Wanyiramba na Wanyaturu ni ndugu?? #jusAsking
Maskini Barthimayo?? upi huo? kuna ambao ni mrefu hivi..nimesahau ni namba ngapi!
Aisee ebu nieeke lyrics za wimbo wowote wa Kinyiramba tafadhali..walau fungu moja tu..:whoo:
Tunatoka mkoa mmoja tu, so ni ndugu coz kwetu kumoja
Nitakuandikia mentor, ngoja nimalize kazi za mkoloni hapa, namba ya wimbo wa maskini bartmayo nayo nitakuambia, I wish ungekuwa hapa jirani nikakuimbia ungeukumbuka tu
pole sana naelewa kabisa jinsi ulivyo mmiss mama yako kumbuka si wewe tu ulie ondokewa na mama,kuna wengi na wengine wanafuata kama sio leo kesho
mimi niliondokewa na wazazi wangu alianza mama mwezi mmoja kabla machozi ayajakauka baba akafuata tena mbaya alinimbia mda si mrefu atamfuata mama nikae nikijua hivyo sababu awezi kuishi bila yeye
familia iliamini uzee na kumbukumbu za mama zilimfanya awe mnyonge mpaka kutamka mda si mrefu atasafiri..nilifungasha mizigo yangu na kuja ninapoishi
nilipotua nikawa naongea nae kwenye simu lakini siku moja aliniachia simu hewani na kuacha neno moja lililo kaa kichwani mwangu kwa mda mrefu sana
mwanangu mda umefika rudi nyumbani kwani mimi niko safarini toka kipindi kile siku sikia tena sauti yake zaidi ya ndugu na jamaa walipokuwa wanalia...........pain sito andika zaidi
poleni sana mliondokewa na wenu wa karibu muwe na subira nguvu na uvumilivu kifo kimeumbwa
pole sana kwa kumpoteza mama yako