Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 332
Nilimuambia week za mwisho mwisho
Wanajirudigi kweli?
huyu mdada needs a brother!a father!.Unajua nini mimi kaka yangu hatujapishana sana sasa tumekuwa tukijibangaizia tu saa nyingine tunapigwa wote tunalia weee lakini leo tumekuwa na tuna wadogo zetu so nigkasema wadogo zangu hell no kuteswa kingese, might kill some one real dead!!!!!
So am the shield come what may!!!!!
You have me now hunie!!!!!
Lakini alikuja kujua kua nina mimba na akaniambia hongera sijui nani kamroga sasa hivi.
Hahahaaa yaani we shida yako ni ndoa tu! Huna worry yoyote! Manake unasema unampenda sana unataka mkae wote mumlee mtoto! Hiyo ni ndoa sasa!
Ndoa haina namna ya kuilazimisha au kuimanuva kwa sababu ya mtoto!
Pumzika kwanza lea mwanao usipate stress! Kama ni wako huyo atarudi na mtafunga ndoa na kulea mwanenu! Muamini Mungu!
Anaweza asikuoe lakini ahudumie mtoto wake! Mpe muda tu!
Otherwise hongera mamii
Wipes ziko mpaka buku tano acha maneno mdada!!!!!
Fanya ya mbolea tulee ankali
Lakini alikuja kujua kua nina mimba na akaniambia hongera sijui nani kamroga sasa hivi.
huyu mdada needs a brother!a father!.
Nyakati kama hizi a woman anahitaji ndugu yake wa kiume!
Kaka ,baba ,binamu also can do!
Mbona anapita kiulaini tu hapa!
huggies unae kaka?babako yupo? Binamu wa kiume?
Stick with them!
C'mon
She has a mother!
Acha kuyatazama maisha kwa kile usichonacho!
Tumia ulichonacho kufanya maisha yako yawe vile ulitamani yawe!
Kwanza umesharudi home?
Umepata maji ya moto?
Thupu?
Relaaaaax !
Usilie huku unamwangalia huyo Cuttie!
Kwanza unalia ili iweje?
Jikamatie mwanao mpe hoteli yake unamwangalia!.
Hakuna moment nzur kama hiyo.
Sawa acha nimpe mudalakini ulikosea kutomwambia mapema, sasa uliogopa utamtisha kumwambia una ujauzito lakini ulidhani ukimwambia umejifungua ndo hatatishika?
pengine hana nia mbaya kama unavyofikiria lakini anafanya hivyo ili ugundue kosa lako, anaona asipofanya hivyo siku nyingine utarudia makosa hayo hayo kwenye mambo mengine. mpe muda kama ni kweli umejifungua jana sasa hivi jali zaidi mwanao kuchanganyikiwa hakutasaidia lolote
Wipes ziko mpaka buku tano acha maneno mdada!!!!!
Fanya ya mbolea tulee ankali
Acknowledge my kaka Olesaidimu!
Yani huwa ni raaaaaha!Yap, hakuna moment tamu kama kunyonyesha huku unakiangalia kitoto na kutafakari ukuu na ajabu ya uumbaji wa Mungu,,, kitoto kinanyonyaaaaa kinarusha rusha miguuu, kinakushika shika full upendoo.... huggies RELAX .... relax utajua la kufanya... kwa sasa u need to relaxxxxxx
Yeye anasafirigi na tumbo wala halikua kubwa yani miezi 9 ilokua kama miezi 5 na na alikua na matatizo ndo maana nikaona bora nikae kimya kwanza nilivyoona siku zinazidi kwenda nikamwambia ukweli.Kwanini umwambie wiki za mwishomwisho? huoni mwenzako anakuwa na mashaka na wewe kwa kumficha kwa miezi yote hiyo? je mlikuwa hampo karibu ktk kipindi chote cha ujauzito? kama ndio ni kwanini?
Sawa acha nimpe muda
Sababu wanakuwa cared left right and centre halafu anakuwa free mara bibi mara babu ooonh anko sijui antie yaani boyanti flani hivi hii inampa piece of mind na good brain development!!!!Hiiiiilo ndo la msingi!
Yani la sekendare kabisaaaaaa!
Enhenhenhe watoto wa ujombani wanakuwaga viiiiichwa!
Hahahaaa yaani we shida yako ni ndoa tu! Huna worry yoyote! Manake unasema unampenda sana unataka mkae wote mumlee mtoto! Hiyo ni ndoa sasa!
Ndoa haina namna ya kuilazimisha au kuimanuva kwa sababu ya mtoto!
Pumzika kwanza lea mwanao usipate stress! Kama ni wako huyo atarudi na mtafunga ndoa na kulea mwanenu! Muamini Mungu!
Anaweza asikuoe lakini ahudumie mtoto wake! Mpe muda tu!
Otherwise hongera mamii
Nilimuambia week za mwisho mwisho
kana nyonyaWee oddo kwan mamkubwa kalala?
I hope na we umejilaza pembeni!
Usikae sana mgongo utauma huoooo,mpk nikipata shemdarling mwingine ushindwe kumhug! Oh!