Wataalamu wengi wanafaamu tatizo kama hili ulilonalo, na wanaweza kukupa ushauri na wasaa wa kila aina, lakini upo tayari kusahau yote yaliopita, upo tayari kuwa mwanaume ALPHA? maamuzi sahihi yapo ndani ya mawazo yako hayo ambayo unayafanya kuwa msingi sahihi wa maisha yako, kwa kuwa mwaka mmoja sasa umepita tangu lilipotokea jambo hilo lililokuvunja moyo, ni kweli kama utaendelea kutunga thread za kuomba ushauri, kupokea ushauri, kukumbuka mema yake, na kadhalika vyenye kukufanya yeye awe sehemu ya mawazo yako kila siku, basi hapo tambua bado una miaka 10 mbele ya kuteseka kifikla kwaajiri yake. Sasa bwana PONDI BOY, tambua umuhimu wako katika jamii, jaribu kutengeneza hope jipya, jipe moyo na imani na kuanzisha mahusiano mapya tena bila dhumuni la kutaka kulipiza visasi, tunaamini yupo aliepangwa kwa ajiri yako, BE A STRONG MAN, shinda vikwazo.Wakuu hope mu wazima!!
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, i am gantle man with 29yrs old, sijaoa bado. Nilikuwa na Girlfriend yapata miaka mitatu (3) iliyopita ambaye nilimpenda saana na nilimuona kila kitu kwangu. Kulingana na hali ya maisha na kiuchumi nilishindwa kuhalalisha mahusiano yetu.. Japo nyumbani alikuwa anafahamika. Mwenzangu ghafla akabadilika na akanisaliti na baada ya miezi tisa akafunga ndoa na jamaa mwingine.. Nilisononeka mno, wazazi pamoja na marafiki walifanya kazi ya ziada ya kuniweka sawa kwani nilichanganyikiwa.
Ilinichukua muda takribani mwaka mmoja nikawa sawa na nikaikubali hali.
Kutokea wakati huo nimepoteza kabisaa hali ya upendo ndani yangu. nimejaribu kuingia katika mahusiano mengine lakn najikuta ndani yangu sina upendo na binti ninayekuwa naye. Hata ile hali ya kumwonea wivu mwenzi wangu imeondoka kabisaa. Najiona umri umesonga natamani niingie katika ndoa lakn ghafla ile hamu inaondoka. Natamani nimpate mwanamke nitakayempenda kwa dhati, nitakayemweshimu na kumthamini, sielewi nifanye nn ili niweze kupenda sana kama ilivyokuwa awali, wataalamu wa psychology naombeni mnisaidie kwa hili..
asanteni
asante sana kwa ushauri mzuri wa kujenga.. but nikuweke sawa tu ni soma thread vizuri yaani huyo gf nikilikuwa naye yapata miaka mitatu iliyopita! na baada ya kubreak nikachukua mwaka mmoja kupona! hapo nimemaanisha tuliachana miaka mitatu iliyopita na ilichukua mwaka kukubaliana na matokeoWataalamu wengi wanafaamu tatizo kama hili ulilonalo, na wanaweza kukupa ushauri na wasaa wa kila aina, lakini upo tayari kusahau yote yaliopita, upo tayari kuwa mwanaume ALPHA? maamuzi sahihi yapo ndani ya mawazo yako hayo ambayo unayafanya kuwa msingi sahihi wa maisha yako, kwa kuwa mwaka mmoja sasa umepita tangu lilipotokea jambo hilo lililokuvunja moyo, ni kweli kama utaendelea kutunga thread za kuomba ushauri, kupokea ushauri, kukumbuka mema yake, na kadhalika vyenye kukufanya yeye awe sehemu ya mawazo yako kila siku, basi hapo tambua bado una miaka 10 mbele ya kuteseka kifikla kwaajiri yake. Sasa bwana PONDI BOY, tambua umuhimu wako katika jamii, jaribu kutengeneza hope jipya, jipe moyo na imani na kuanzisha mahusiano mapya tena bila dhumuni la kutaka kulipiza visasi, tunaamini yupo aliepangwa kwa ajiri yako, BE A STRONG MAN, shinda vikwazo.
Hapana chezea expert wa mapenzi....[emoji1]Tulia tu kwasasa mkuu... Utakapokutana na umpendae wala hutakua na haja ya kubustiwa jinsi ya kupenda tena. Automatically utajikuta umezama
Ahh sawa, lakini najua kuna kiapo ulijiapiza!! usivunje ahadi na moyo wako mkuu pond boy.asante sana kwa ushauri mzuri wa kujenga.. but nikuweke sawa tu ni soma thread vizuri yaani huyo gf nikilikuwa naye yapata miaka mitatu iliyopita! na baada ya kubreak nikachukua mwaka mmoja kupona! hapo nimemaanisha tuliachana miaka mitatu iliyopita na ilichukua mwaka kukubaliana na matokeo