salmar
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 799
- 362
I cant go to sleep in butiama and let my country go to dogs hayo yalikua maneno ya mwali nyerere rais wa kwanza wa tanganyika mwaka 1995 hayo maneno alimlenga mrema so sion sababu ya watu kumlaumu nkamia imeanza kwa mwanzilishi wa CCM naomba tujadili ukweli na utashi