I came to the United States to start new life

Bullshit

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,300
1,495
The low admissions numbers,low arrivals and impacts from the excutive orders have had a proufound impact on refugees seeking safety in the U.S.

i want other refugees to have this life saving program.

Congress,please help us in welcoming 30,000 refugees thi year.

. Church World Services.
.Congolese diaspora of US.
On TV soon..............
IMG952019032795122434310.jpeg
IMG952019032795120754320.jpeg
IMG952019032795120112523.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakongo kwa kupenda vya bure hamjambo
nilitamani kutokujibu lakini si vema nikakuacha ukiwa mchinga kama ulivyo,nitakuwa nimekosea,maana tuna kazi kubwa sisi wenye akili kuwaelemisha wasio na akili.

Hivi hapo unawaona ni wa kongo pekee yao au ujaelewa nilichokiandika nimelenga nini.

Watanzania wengine sijuwi ni miunga inawachanganya,ni bora ungebaki china tu maana unakuja kuwasumbua wachache wenye kujitambua

Maneno mengi vitendo hamna,cjuwi huwa mnawashwa kucomment utumbo,kama hayakusu si unapita kuliko kuacha tembe zako hapa

Ndo maana nawapendaga sana wakenya wako very serious mtanzania maneno mengi,wachache wenye kujielewa katika wengi...

Go to hall

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilitamani kutokujibu lakini si vema nikakuacha ukiwa mchinga kama ulivyo,nitakuwa nimekosea,maana tuna kazi kubwa sisi wenye akili kuwaelemisha wasio na akili.

Hivi hapo unawaona ni wa kongo pekee yao au ujaelewa nilichokiandika nimelenga nini.

Watanzania wengine sijuwi ni miunga inawachanganya,ni bora ungebaki china tu maana unakuja kuwasumbua wachache wenye kujitambua

Maneno mengi vitendo hamna,cjuwi huwa mnawashwa kucomment utumbo,kama hayakusu si unapita kuliko kuacha tembe zako hapa

Ndo maana nawapendaga sana wakenya wako very serious mtanzania maneno mengi,wachache wenye kujielewa katika wengi...

Go to hall

Sent using Jamii Forums mobile app
But being a refugee is not sth good to a human being.....being a refugee should be ur second last alternative in life before suicide which is the last alternative

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann uache nchi yako na kuikimbia kama uliyefukuzwa, kisha kwenda kuishi kama mkimbizi ulaya??

Wewe umetoka nchi tulivu kabisaa, je wa syria wasemeje??yemen??venezuela??? Haiti wasemeje mpaka Iraq??



Kama umeshindwa kusonga mbele nchin kwako...uko ulikokimbilia kwa mwanvuli wa ukimbizi ,utaishia kusonga ugali.

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
But being a refugee is not sth good to a human being.....being a refugee should be ur second last alternative in life before suicide which is the last alternative

Sent using Jamii Forums mobile app
NIMEKUELEWA,ila shida ujanielewa mimi,marekani hakuna ukimbizi kama unavyofikiria,but wanasaidia watu walio nchi za ukimbizi kuja kuishi marekani ili kuendeleza maisha yao kwa kujitegemea na sio kuishi maisha ya ukimbizi

hapo hatuongelewa watu walioko marekani mbali watu wengine walioko katika nchi zingine ukimbizini,nchi hatari kuja kuishi salama marekani.

Mfano tanzania kuna wakimbizi,wanaishi maisha ya shida,hawana uhuru,hawaruhusiwa kufanya shunguli yoyote ya maendeleo,hata kukununua au kuendesha pikipiki hawaruhusiwa,ndomana tunaomba waje hapa ili watengeneze misingi ya maisha yao na sio kama wanavyoishi tanzania

Marekani ni nchi yenye fursa nyingi na unaweza kujitemea na sio kuishi kwa msaada.

NB:hakuna anaependa kuishi ukimbizini,lakini sio kwasababu hatupendi ndo ukimbizi hakuna,ukimbizi hupo na watu wanaishi kwa shida nchi waliozokimbilia mfano nimetoa tanzania,ndomana tunaomba waje hapa marekani sehemu salama kwa maisha yao na waachane na maisha ya ukimbizini na kusahau shida walizopitia...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann uache nchi yako na kuikimbia kama uliyefukuzwa, kisha kwenda kuishi kama mkimbizi ulaya??

Wewe umetoka nchi tulivu kabisaa, je wa syria wasemeje??yemen??venezuela??? Haiti wasemeje mpaka Iraq??



Kama umeshindwa kusonga mbele nchin kwako...uko ulikokimbilia kwa mwanvuli wa ukimbizi ,utaishia kusonga ugali.

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
Fikra finyu inakusumbua ila sikuwachi ulivyo nataka leo ubadili fikra ulizo nazo,na huelimike leo.mtu kuishi nje ya nchi yake haina maana hataki kuishi nchini kwake,na wapo wengi walio na mafanikio wakiwa nje ya nje zao,mfano,msanii akon ametoka africa maifanikio yake aliyapata hapa nchini marekani,rais wa rwanda kagame alitokea ukimbizi na kwenda kuwa raisi nchini mwake,rais wa burundi nae alikuwa mkimbizi congo tena alikuwa anaishi msituni na kwenda kuwa rais,bank moon aliekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa alikuwa mkimbizi(ila sina uhakika kama amesgarudi nchini mwake maana niliwahi kusikia anataka kugombea urais),donard trump,baraka obama,wazazi wao wote waliamia nchini marekani leo watoto wamekuwa maraisi wa marekani,kuna mbunge wa kike alietokea somalia hapa marekani.senator wa california ametokea australia leo ni senator hapa marekani
Ni wengi ila nilitaka nikupe taswira upate kunielewa nataka kumaanisha nini

Kwaiyo marekani ni nchi salama zaidi kwa maendeleo ya watu wanaoshi maisha mabaya kufikia malengo yao na haina maana ukiishi ukimbizi ndo mwisho wa maisha yako



Kujifunze kutoka kwa wenzetu sio mbaya maana tunachokivuna hapa ni mafanikio kwa nchi yangu au sifa kwa nchi yangu kama ilivyo obama kwa kenya.

Wenzetu wamaendelea mbwa wa markani anathaminika kuliko unavyothaminiwa wewe kwenye nchi yako.!!!!!!!!!!!!!!!!

Huoni bado tuna kazi ya ziada,ndo unapoongea tumia akili sio unga!!!!!!!!!!!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
The low admissions numbers,low arrivals and impacts from the excutive orders have had a proufound impact on refugees seeking safety in the U.S.

i want other refugees to have this life saving program.

Congress,please help us in welcoming 30,000 refugees thi year.

. Church World Services.
.Congolese diaspora of US.
On TV soon..............View attachment 1057745View attachment 1057746View attachment 1057747

Sent using Jamii Forums mobile app
Waafrika tuna laana,badala ya kubaki nchini kwenu na kugombania amani na haki mnalilia nchi za wenzenu,nchi yenu tajiri lakini mumekuwa ombaomba na kutaka kukimbilia ugaibuni karibuni Tanzania tuwape mashamba ya kulima huko Rukwa
 
The low admissions numbers,low arrivals and impacts from the excutive orders have had a proufound impact on refugees seeking safety in the U.S.

i want other refugees to have this life saving program.

Congress,please help us in welcoming 30,000 refugees thi year.

. Church World Services.
.Congolese diaspora of US.
On TV soon..............View attachment 1057745View attachment 1057746View attachment 1057747

Sent using Jamii Forums mobile app
Neno "i came" maana yake "nimekuja" au nilikuja. Sasa wewe "ulikuja" United States au "uliletwa" na shirika la kuhudumia wakimbizi (unhcr) ?
 
Waafrika tuna laana,badala ya kubaki nchini kwenu na kugombania amani na haki mnalilia nchi za wenzenu,nchi yenu tajiri lakini mumekuwa ombaomba na kutaka kukimbilia ugaibuni karibuni Tanzania tuwape mashamba ya kulima huko Rukwa
Ujumbe wangu ujaelewa bro na kama umeelewa basi wewe nae ungebaki china,,,

Tufanye sasa nyinyi wenye amani miaka yote,mna maendeleo yapi,
Mbina mnataka kutibiwa nje ya nchi,ushawahi kujihuliza miaka yote ya amani huwa mnafanya nini bado mnaitaji tiba kutoka nje.misaada kutoka nje,elimu kutoka nje.

RWANDA imepitia vita ila ina maendeleo zaidi ya tanzania hata kielemu,ushawahi kujiuliza wakati rwanda imepitia vita nyinyi mlikuwa mnafanya nini?.

CONGO tunawacheza wengi wanocheza nje na tunamafanikio ya mpira,tuna logo ya mziki wetu unajulika dunia nzima,congo ni nchi maarufu kuliko tanzania,tanzania mnamcheza mmoja tu nje samatta na akifunga goli huwa ni habari kila siku,hivi watanzania wenye amani mlikuwa wapi.

SOUTH AFRICA imepitia kipindi kigumu cha maswala ya ubaguzi lakini inamaendeleo kuliko tanzania kisiwa cha amani,unaitumia kwa lipi AMANI yako......

HAYO MASHAMBA YANAKUSAIDIA NINI na bado mnahangaika na madawa china na nchi zingine maana nyinyi wenye amani ndo mnaongoza kufungwa jela nyingi kuliko waafrika wengine
Watanzania wanajiuza sana china,wengine uharabuni wanaaangaika kufanya kazi za ndani na takwimu ziko wazi na nchi yao ndo kisiwa cha amani.amani yako inakusaidia nini na bado mnahangaika tu,bado njaa inawasumbua.

Rais aliepita wa tanzania mwenyewe aliwahi kusema hatuwezi kuendelea bila misaada.

Kama bado NCHI ya amani mnategemea misaada kwa amani mlionayo.kipindi hicho mlikuwa mnafanya nini?.

Na wale walioko kwenye vita nao wasemeje?,

Tumia akili ndugu ni muhimu kuliko tumia tembe,




Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilitamani kutokujibu lakini si vema nikakuacha ukiwa mchinga kama ulivyo,nitakuwa nimekosea,maana tuna kazi kubwa sisi wenye akili kuwaelemisha wasio na akili.

Hivi hapo unawaona ni wa kongo pekee yao au ujaelewa nilichokiandika nimelenga nini.

Watanzania wengine sijuwi ni miunga inawachanganya,ni bora ungebaki china tu maana unakuja kuwasumbua wachache wenye kujitambua

Maneno mengi vitendo hamna,cjuwi huwa mnawashwa kucomment utumbo,kama hayakusu si unapita kuliko kuacha tembe zako hapa

Ndo maana nawapendaga sana wakenya wako very serious mtanzania maneno mengi,wachache wenye kujielewa katika wengi...

Go to hall

Sent using Jamii Forums mobile app
unatafuta Nini kwenye forum ya Watanzania
 
Neno "i came" maana yake "nimekuja" au nilikuja. Sasa wewe "ulikuja" United States au "uliletwa" na shirika la kuhudumia wakimbizi (unhcr) ?
Sijaletwa na shirika la unhcr,ila ilinisaidia kunitumia maombi yangu nchini marekani,na hakuna mtu yeyote kutoka nchi za ukimbizi kuja marekani analetwa na unhrc,maswala ya usafri ni pesa ya mtu mwenyewe anaomba mkopo wa safari kutoka OIM baada ya kufika marekani unarudisha taratibu,na sio lazima kuchukua mkopo ni hiari yako mwenyewe.
na serekali inawasaidia vitambulisho muhimu ambazo mtu anaeishi kihalali marekani anapaswa kuwa navyo

Watu wengi wanafikiri kuja marekani ni utumwani sio kweli,marekani una hiari yakufanya kazi au kutokufanya kazi,unahiari ya kusoma au kutokusoma,una hiari ya kuwa raia wa marekani au kurudi nchini mwako au kuishi tu marekani kwa GREEN CARD.
Na tena watu wanafikiri tunaishi kwa kupewa misaada,hakuna misaada ya ukimbizi nchi marekani,unaishi kwa kujitemea na unaishi unavyotaka wewe mwenyewe,huduma za serekali ni zile za kila siku kwa wananchi wao


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaletwa na shirika la unhcr,ila ilinisaidia kunitumia maombi yangu nchini marekani,na hakuna mtu yeyote kutoka nchi za ukimbizi kuja marekani analetwa na unhrc,maswala ya usafri ni pesa ya mtu mwenyewe anaomba mkopo wa safari kutoka OIM baada ya kufika marekani unarudisha taratibu,na sio lazima ni hiari yako mwenyewe.
na serekali inawasaidia vitambulisho muhimu ambazo mtu anaeishi kihalali marekani anapaswa kuwa navyo

Watu wengi wanafikiri kuja marekani ni utumwani sio kweli,marekani una hiari yakufananya kazi au kutokufanya kazi,unahiari ya kusoma au kutokusoma,una hiari ya kuwa raia wa marekani au kutudi nchini mwako au kuishi tu marekani kwa GREEN CARD.
Na tena watu wanafikiri tunaishi kwa kupewa misaada,hakuna misaada ya ukimbizi nchi marekani,unaishi kwa kujitemea na unaishi unavyotaka wewe mwenye,huduma za serekali ni zile za kila siku kwa wananchi wao


Sent using Jamii Forums mobile app
Ok kijana
 
Back
Top Bottom