Kuna tangazo moja huwa naliona mara kwa mara ITV mshenzi mmoja anamwambia mshiriki, "nilichokipenda kwako ni nguo yako ya ndani tu!" Mwe, huu si ni udhalilishaji wa wazi kabisa? Halafu kipande hicho kama haitoshi ndo kinatumika kama tangazo!!!!!!!!!!!!!
Ha haaa sasa mkuu kama mshiriki mwenyewe kaja kavaa sarawili chini ya masaburi na kufuli lote kalianika nje aambiweje?