wakuu, tukishamuimbaa mwalimu huyu wa Arts ,tumuandikie inavyopaswa kuandikwa sio tunamkosoa hatumwambii amekosea wapi
√√ hapa likipita zoezi la kuandika dictation kwa WALIMU wa secondary shule hizi zetuu ndo utajua wanafunzi wanafeli kwa kutokujua kiingeleza au WALIMU ndo hawajuii, tusi mkandamize mwalimu amejaribu sana tuuu
wakuu, tukishamuimbaa mwalimu huyu wa Arts ,tumuandikie inavyopaswa kuandikwa sio tunamkosoa hatumwambii amekosea wapi
√√ hapa likipita zoezi la kuandika dictation kwa WALIMU wa secondary shule hizi zetuu ndo utajua wanafunzi wanafeli kwa kutokujua kiingeleza au WALIMU ndo hawajuii, tusi mkandamize mwalimu amejaribu sana tuuu
I hold a degree in Education. I specialize in English and History but i can also teach Civics very well. Please contact me on 0769306968. Currently am in Geita town
umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)
Kaka English yako mbovu sana, ni aibu kwa serikali, ni aibu kwako kuwa degree holder halafu hujui kingeereza, poor English grammar, soma novels, tzama movies, na tzama Mpira wa kiingereza u will improve progressively
umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)
umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)