I am looking for a teaching job

Hata hao wanaokosoa hawaijui hiyo lugha ndio maana ukiwambia waandike kwa usahihi amabavyo mtoa mada alitakiwa aandike wanaishia kurukaruka tu.

Watanzania wamekuwa wajuaji wa kitu wasichokijua.

 

Wengi hawajui hata kosa lake mkuu, so hawawez kumsaidia zaidi ya kumponda maana ndio kipaji chetu waafrika.
 
I hold a degree in Education. I specialize in English and History but i can also teach Civics very well. Please contact me on 0769306968. Currently am in Geita town
Naomba nijuzwe ni makosa gani ya lugha aliyo yafanya mleta uzi! siyo kupinga tu kuwa kingereza kibovu bila ya kusema kosa lipo wapi?
 
umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)
Kaka English yako mbovu sana, ni aibu kwa serikali, ni aibu kwako kuwa degree holder halafu hujui kingeereza, poor English grammar, soma novels, tzama movies, na tzama Mpira wa kiingereza u will improve progressively
 
umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)
Ameandika.mwenyewe kuwa ana-hold degree in English.
 
umejuaje kama ni degree holder, anaweza kuwa Certificate au Diploma holder, au kama ni degree ni vile vyuo anavyosema vifungwe, Prof Ndalichako (Vyuo vya kata)
Asingezungumzia speciality bila kuwa na degree.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…