I am addicted to sex

Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?

Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.

Alamsik....
Bila shaka utakua mwembamba kiumbo
*Wadada wembamba popote mlipo agizeni chochote nikija nitalipa๐Ÿ˜œ Hawa watu wapo ready kufanya sex hata wiki nzima mfululizo masaa 24 na bado wanataka tena(Mimi penda Sana Hawa watu๐Ÿ™‹๐Ÿ™‹)

Shughuli ipo kwa wadada wanene(Am sorry nikikukwaza) these people wanataka kimoja tu tayari wanakwambia nimechoka mpka kesho kutwa hyo sasa ili uishi nao vzur laZima uwe na tawi pembeni la kukupea sex ukitegemea kwake tu Umeumia
 
Back
Top Bottom