hvi atakua amefunga au!!!?

hvi atakua amefunga au!!!?

kagombe

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
3,624
Reaction score
1,826
7fabe922ee26a0aa499eeb22eb6e55cd.jpg
 
hahaaaaaaa aibu sana.home umewaachia mihogo kwa pilipili.wewe unakula bata.mbinguni kugumu sana
 
Kulijibu swali lako mbona rahisi tu. Ndiyo kafunga kweli. Haya uliza swali jingine. Kwani kufunga umenyimwa kula futari hotelini? Ka ni hapana, yeye naye kaenda kula futari kwa mama ntilie, umeyaona hayo maandalizi, mwangalie mwandaaji alivyo tulia akingoja mzee apate futari kwanza. Jamani nyie kina Faizafoxy mnalianzisha wenyewe mpaka mnaachiwa futari zenu
 
Back
Top Bottom