FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Ni story ya kweli wote wawili wanafunzi wa mzumbe mwaka watatu.boy na demu wana mahusiano toka wakiwa mwaka wa kwanza jamaa kampenda kweli gash muda ukazidi kwenda kumbe demu anamcheat jamaa kila siku'kwel siku za mwizi 40'siku hyo demu anaumwa all day akawa na jamaa wake wakaenda hosp kuchukua vdonge na dawa nyngne'jamaa akakaa na demu wake had saa nne'wakaagana mchz akarudi kwake'demu nyuma gari ya mwarabu ikapaki si akatoka bwana kwenda mjini kula bata wanafika kwenye kona fulani b4 moro gari ikapata ajari mwarabu kafa demu kanusurika na majeruhi'jamaa kesho anarudi asubuhi anaanza kumuulizia demu wake magash wengne wakaanza kumficha'jamani uongo mbaya