Baada ya kupata taarifa kwamba Simba wanamleta straika kutoka Senegal aitwaye PAPA NIANG (mdogo wake Mamadou Niang), nilimwangalia kwenye Youtube na kugundua kwamba ni mkali. Jamaa anapiga mashuti makali kwa kutumia miguu yote miwili, na pia ni msumbufu kwa mabeki kama alivyokuwa Emmanuel Okwi. kama kweli Simba watampata straika huyu, watakuwa wamelamba dume. Tatizo ni kwamba viongozi wa Simba huwa wepesi ku-spot wachezaji wazuri halafu baadaye hawawapati sababu ya ubahili.