Huyu Ridhiwani ninani???

Status
Not open for further replies.

n'a hiyo takukuru ndio iliyofanya kazi ka wale wezi wa pesa za umma wazirudishe n'a kuwa huru je ingekuwa kwa mwizi wa kuku angeambiwa arudishe kuku? kuleni bata sana n'a mjiwekee vikampuni uchwara kwa ajili ya kula pesa za umma
 
Hata mademu wazuri wakipita hapo simiwu uliza niwananni utaambiwa ni wa riz
 
Sasa hapa ku "complain" au kuna ujinga tu?

U "complain" uje na ushahidi wa uyasemayo siyo unakuja na hadithi za gongo.

Huu ulioletwa hapa ni ujinga.
Lisemwalo lipo,kama halipo laja bidada.
Nimejifunza kua hapa bongo kwetu watu wanakuaga na data sana. Na huwa data zinaanzaga kwa tetesi mwisho unasikia kitu kamili.
Bi dada huwa nakusom SANA post zako. Unaipenda sana ccm kwa moyo wako lakini usiwe hivyo sana mpaka unakuwa blind. Yani panapokosewa unatetea. Hatuendi hivyo bidada.

Mimi ni neutral sina chama wala nini pa kumsifia chadema nafanya hivyo. Pa kumsifia ccm pia nafanya hivyo
Badililika na nchi yetu huwenda ikawa ya maendeleo baadae.
Kila kukicha tunasikia ritz anatumia madaraka ya baba yake kujinufaisha. Nyerere watoto wake hawakua hivyo. Ipo siku mpinzani akaja kuchukua nchi watu kama kina ritz wakaanza kutafutwa na kuchukuliwa hatua , sasa hayo siyatakua machafuko kama kwa waarabu baadhi!

TUKIlea hivi vitu vidogo ndo vinakuaja kua vikubwa. Usitetee kila kifanywacho na mwana ccm
 

kwa nini unatetea sana ??? au wewe ni demu wake Riz1?? na usifikiri kila anayepigia makelele ufisadi ni maskini kashindwa maisha No ,..fikiria upya
 
huyu jamaa anaonewa sana mi kuna mtu namfahamu ambaye tangu anatafuta senti anafanikiwa namuona mpaka sasa tajiri mkubwa lakini watu wanasema mali za jamaa ni za Ridhiwani na mimi ndio nilikuwa mhasibu wa jamaa najua transaction zote zikoje inaboa sana
 

Ungefanya jema kwa kumtaja huyo jamaa ili aondokane na uzushi sasa!!!!!!!
Aaargh unakuwa dulloscar sasa
 
Ungefanya jema kwa kumtaja huyo jamaa ili aondokane na uzushi sasa!!!!!!!
Aaargh unakuwa dulloscar sasa

Olesaidimu sio ethics kumtaja mtu according to my profession but kila mtu anajua ni mali za Riz while sio kweli cause I control all transactions
 
ridhiwani wapo wengi hata hapa jf yupo na mwingine ni mtoto jakaya. Mtaani kwangu pia yupo riz1 yeye anaziba pancha baiskeri. Huliza vizuri watakwambia tu ni riz yupi huyo

Hehehehheeh nomaaaaa
 

Umeona MTU kamsifia au kamsemgenya?
Huna hata uchungu utadhani sio Tanzania bana
 

Unaweza kukuta huyu Dada hana ubongo so kajikuta katopoka tu
Watu they don't know how to think kabisa utadhani sio watanzania aisee
 
Work hard you will be rewarded.... Kazi huleta maendeleo na Mfanyabiashara hukutana na mapa kila siku na hujifunza mbinu zaidi...

Unataka kusema bwana ridhiwani works hard?u must be out of yo mind kwakweli
 

Mi sidhani kama mtu anahtaj darasa wakat anajua kila KTU no ujinga na kukosa uzalendo tu ndo unaweza kutoa comment kama ya huyu Dada aiseee
Huwez kumaliza chuo tu ukawa billionea labda uuze poda aiseee
 
Sasa hapa ku "complain" au kuna ujinga tu?

U "complain" uje na ushahidi wa uyasemayo siyo unakuja na hadithi za gongo.

Huu ulioletwa hapa ni ujinga.

Y don't u ask for ushahidi rather than hzo Maneno zako za kashfa?
 

Mtu mwemye ubongo umeganda kama faiza foxy atakuaja atakuambia unakaa kusengenya wanaume wenzio
 

The story about ngeleja is the guys was Vodacom lawyer for years
Rostam ni mmiliki mwenza Wa Voda so rostam ka heal yake kamchukua ngeleja kampa hadi hela ya kampeni agombee ubunge then kashabook nafasi moja ya uwaziri Wa nishati kwa kikwete
 
Ridhi Ni yule bwana ambae chadema na katibu mkuu wao walisema anamiliki malori,mabasi,sheli ,na magorofa yote mazuri unayoyaona hapa mjini na mikoani....pia chadena wakasema alikamatwa china ila mkuu akamtoa...

Hata holiday inn ana share ya bwana jeetu
 

Lete ushahidi ameiba Mali ya uma wapi? Anafanya kazi taasisi gani ya serikali akaiba? Tufahamishe nasi tuelewe, maana nae ni binaadamu hawezi kukaa ale kisa ni Mtoto wa rais lazima apiganie maisha yake kwa kufanya biashara kama watu wengine, mbona hamwasemi wengine wenye mafanikio ila ni yeye tu? Lete ushahidi hapa vinginevyo tutatafsiri ni wivu wa kimaendeleo.
 
Heeeh...Mwacheni kijana wa JK......mna'insinuate' hata ambavyo havipo.....Hata mitaani mtoto wa Boss akiwa na vitegauchumi tunapika majungu......Let the man be!...mmmph
 
"Sasa hivi kila kitu kizuri naambiwa changu,mda si mrefu kile mwanamke mzuri watasema ni wangu"-Riziwan Kikwete
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…