mmmh labda mshana jr atakuwa anawafahamu hawa!!![]()
Hahahaaa,ndugu yangu mimi huo mwili sina.
Kimbau mbau tu.
Hawa wote malaya tu.Ona hayo mapaja ya gigy yamegoma mkoro sijui ndio anaanza hadi yanatia kichefuchefu.
Huyo mwezie hizo ndala hapo kifuani sijui ndio anaona fashion hata sielewi.
mmmh labda mshana jr atakuwa anawafahamu hawa!!![]()
kwani hawa Malaya ni kina nani hasa wanafanya nn
ngoja niitafute hiyo ya nasema nawe nimwoneHuyo aliyejianika ambaye ndie umeanza kuweka picha yake ukiuliza ni nani anaitwa Gigy money ni video queen.
Anaforce umaarufu sana maana anajidai na mziki anaweza kufanya pia.
Yupo kwenye video nyingi tu ila the latest ni ile ya diamond nasema nawe.
Kwema kabisa aisee hofu kwako tu, J'pili lazima nitie timu. Ndio nimeianza weekend.