- Thread starter
- #21
asante kwa ushauri sababu mwenyewe huwa nakosa raha nakujiulza kwanini akatae kupima ina maana ananiamini mimi sana kuliko maisha thank for your advice!Jiulize, ana sababu gani ya kuogopa kupima UKIMWI kama kweli anakupenda kwa dhati na yeye pia anaipenda afya yake? Kuna kitu hapa. Fungua akili, usikubali kuingia kwenye shimo kizembe hivyo. Hataki kupima, achape lapa!