^^
Siamini taarifa hii hata kwa bure
^^
Na kama ni kweli huyo mwanamke hafai hata kuwa mfanyakazi wa ndani!
Inawezekana ahadi zako mpaka ukatiwe viuno ndio unaropoka oooh leo utaenda kuchukua lile wigi la brazilian oooho upitie zile wax pale sinza usisahau handbag zako kwa dada nanii boutic yote unamaliza wewe sasa mkimaliza mwenzio anakukumbushia tu wewe tayari unaleta jf kwani huwa huna fahamu unaporopoka pale 6x6
Jamani me nina mke wangu halali wa ndoa kabisa tumekaa kwenye uchumba kwa takribani miaka minne tukaoana kwa baraka za wazazi wote pande mbili.tatizo ni kuwa kila tukimaliza ku-do anaomba hela kitu ambacho hakuwa nacho enzi za uchumba,nisaidieni amepatwa na nini?
Heeeee!! Makubwa!!! Dah hiyo ndoa eti!! Ndio mana nsipoingia humu naumwa!!Anakuuzia hadi papuch uliyoilipia?duuu huyo mke wa ajabu cjawah kuona! Ngoja niendelee kushangaa....!!!!!!