Huyu ni mke wa aina gani?

Huyu ni mke wa aina gani?

Heeeee!! Makubwa!!! Dah hiyo ndoa eti!! Ndio mana nsipoingia humu naumwa!!Anakuuzia hadi papuch uliyoilipia?duuu huyo mke wa ajabu cjawah kuona! Ngoja niendelee kushangaa....!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Luv
kkkkkkk mkuu nimecheka mpaka basi yaani anakuuzia nyapu yake? vipi na wewe huwa unanunua? Nalog off
 
Inawezekana we huwa umpi hela za matumizi na ndo maana anakuvizia katka angle hiyo!! Ila daa!! Atakuwa kafundishwa na shoga zake!!
 
Tatizo wewe mgumu sana acha ubahili mpe mara kwa mara tuuuuu. Wewe umekuwa mgumu na huwa unampa baada ya kumlala tu ndio maana huwa anaombea hapo.
 
Kwani huwa unakojoa hela?? maana c bure ati!
 
yaweza Kuwa Kweli, maana nimeshamsikia mtu akilalamika kitu mfanowe kama hivyo .....
 
Inawezekana ahadi zako mpaka ukatiwe viuno ndio unaropoka oooh leo utaenda kuchukua lile wigi la brazilian oooho upitie zile wax pale sinza usisahau handbag zako kwa dada nanii boutic yote unamaliza wewe sasa mkimaliza mwenzio anakukumbushia tu wewe tayari unaleta jf kwani huwa huna fahamu unaporopoka pale 6x6
 
Inawezekana ahadi zako mpaka ukatiwe viuno ndio unaropoka oooh leo utaenda kuchukua lile wigi la brazilian oooho upitie zile wax pale sinza usisahau handbag zako kwa dada nanii boutic yote unamaliza wewe sasa mkimaliza mwenzio anakukumbushia tu wewe tayari unaleta jf kwani huwa huna fahamu unaporopoka pale 6x6

haha! Umenifurahsha.
 
Ndo zao munkari hata me nikikutana na ilo ntahakikisha nalifunganalo kanga mbichi sasa mpaka ikauke bili itakuwa kubwa hapo najua mpaka next wk ndio ntapata tena
 
Jamani me nina mke wangu halali wa ndoa kabisa tumekaa kwenye uchumba kwa takribani miaka minne tukaoana kwa baraka za wazazi wote pande mbili.tatizo ni kuwa kila tukimaliza ku-do anaomba hela kitu ambacho hakuwa nacho enzi za uchumba,nisaidieni amepatwa na nini?

Twende taratibu kwanza,hela ya kufanyia nini? Unajua wewe waweza kuwa tatizo, yaani haumpi pesa ya matumizi kirahisi na ndo mana anaamua kutumia njia hiyo,akikuomba muulize ya nini?
 
Kuna jamaa anamgegeda halafu anampa pesa, chunguza utakuja kiri hapa jamvini
 
Heeeee!! Makubwa!!! Dah hiyo ndoa eti!! Ndio mana nsipoingia humu naumwa!!Anakuuzia hadi papuch uliyoilipia?duuu huyo mke wa ajabu cjawah kuona! Ngoja niendelee kushangaa....!!!!!!

ww Munkari ati nn kailipia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom