mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
omba msaada
Kwani mtu anaehack Facebook accounts zaidi ya 70000 anakua amecheza na nini kama sio server side ?
Kwani mtu anaehack Facebook accounts zaidi ya 70000 anakua amecheza na nini kama sio server side ?
Kuna technique nyingi za kupata account za watu wa facebook na si lazima ucheze na server side.. Mfano mtu anayefanya phishing au anaye-log keys za watu, unadhani atakosa accounts za facebook? Kuingia kwenye server za facebook ukabadilisha information ya mtu, au ukaiba file linalo-contain passwords za users usidhani ni kitu kinafanywa na watoto kama hawa wanaohack sites zisizo na security... Ushawahi ona mtu ameangusha facebook hata kwa sekunde tatu ikawa inadisplay text za ovyo hizo?
Mii naamini hackers ni wale GOP waliowasumbua Sony, Lizard walio isumbua Xbox na Playstation na wakaanza target Tor. Wakubwa wao ni kina Anonymous
Wengine ni script kids hata programming hawajui
Wabongo bwana! wamejua vi terminologies vya wadukuzi basi wanaanzakurushiana vijembe, hz siasa uchwara zinatupeleka kuzimu... Acha mi nijilie ugali hicho ndicho ninacho kipenda, hvyo vingine vya ubishi wa ujuaji nawaachia wajuaji.
Kina anonymous ni akina nani ?
What is a script kiddie ?
A script kid is someone who uses other peoples programs to hack script kids cant code or have little knowledge of coding,
Anonymous hackers, ni kati ya makundi makubwa na ya hackers, wanao target government institutions, organization etc
hii inaitwa denial of servicf atack na bado hakuna ushahidi kwamba ni mtz .