mucho886
Senior Member
- Dec 1, 2013
- 169
- 41
what did u mean?
What did he mean? If u didnt get the msg ask him to translate for you otherwise the message is clear, it might be possible that the language was an obstacle to u
what did u mean?
He is not an ideological fanatic like many of you would expect him to be,He is an independent and free thinker something which many of you are not familiar with but it's a normal thing in the advanced and civilized world.
hajasema yuko upande gani,,
hajasema yuko upande gani,,
zitto yupo neutral
Anyway ana muda mwingi wa kujirekebisha ni mtu ambaye yuko FLEXIBLE!!!!Zitto anaweza kuchambua mambo na pia kujenga hoja lakini anatatizo la kuwa mtu asiyeaminika na usaliti anapohisi kuna maslahi yake binafsi
Ha ha ha ha aha h .....!!!Zitto akikua akaacha kutokueleweka, atakuja kuwa mwanasiasa mzuri atakayeaminiwa. Anauwezo mkubwa sana wa kujenga hoja vizuri kimantiki, na pia anauwezo mzuri wa kusaliti.
kwi kwik kwik kwik ho ho ho hah........:clap2:Haaminiki huyo...sawa na kumkabidhi fisi bucha
NB.huwezi jua kesho atasemaje km atajaziwa mzigo CRDB
Anzisha basi au kama vp nenda FB.Hakuna mambo mengine ya kujadili??
Zitto alishaweka msimamo wake. Ni muhumini wa serikali 3. Tafuta The Citizen ya Jumapili tarehe 6 April 2014 aliandika makala ndefu na kuweka msimamo wa serikali 3. Haina Shaka Zitto ni intelligent sana na ana uwezo wa kujenga hoja ila tatizo ni kutokuwa na subira yaani Patience. Rais Museveni anasifika sana kwa kuwa mtu wa Subira sana. Hakurupuki hata maasimu wake kama Besigye wanamsifu kwa kuwa na "patience" ya hali ya juu ndio maana alifanikiwa katika vita ya msituni. Hata Zitto hasikurupuke kuingia vyama vingine. Aganganie Chadema iko siku ataeleweka. Zitto ni mtu muhImu katika mchakato wa katiba mpya. HASITUANGUSHE KAMANDA HUYU.
He is not an ideological fanatic like many of you would expect him to be,He is an independent and free thinker something which many of you are not familiar with but it's a normal thing in the advanced and civilized world.
hajasema yuko upande gani,,