Hii inaonyesha jinsi gani "IQ" ya huyu mama ilivyo chini!!!
Inalekea mama alikuwa anagawa kwa KK wakati yupo kwenye ndoa na Cliff. Hajasema mme wake alikufa mwaka gani.
Watanzania tujifunze kubalance haki za kijinsia.
Yule katibu Mkuu wa chama cha upinzani ambaye mpaka sasa bado anaendeleza lavidavi live na mke wa mtu mnamchukulia poa tu. Huyu kwa vile ni mwanamke basi inakuwa big deal!
Tunakuwa kama jamii isiyojua inachotaka! Kama tunakataa infidelity iwe kwa kila kiongozi siyo viongozi wa kike tu.
Nasikia kwa Wazaramo hii si ajabu. Lakini mimi kilichonistua zaidi ni juu ya ule mkataba wa jengo walilompa mwekezaji kwa miaka 33. Yaani hawakujua thamani ya jengo hilo? Ni yale yale ya mikataba yetu tunawaachia wazungu madini tukiambulia 3%.Huyu mama mwaka 1972 aliolewa na Cliff (Msauzi) na akazaa nae watoto wawili, then 1975 akawa anadate na mume wa mtu Kitwana Kondo. Katika hali ya kawaida inaonekana wakati anadate na Kitwana alikuwa anaendelea kuzaa na Msauzi, mambo ya ajabu kabisa haya. Kwa interval ya kutoka mwaka 1972 mpaka 1975 ni miaka mitatu, unless atueleze kwamba either alizaa hao watoto kabla ya kuowana na Cliff au alizaa watoto kama Mhindi
Huyu mama mwaka 1972 aliolewa na Cliff (Msauzi) na akazaa nae watoto wawili, then 1975 akawa anadate na mume wa mtu Kitwana Kondo. Katika hali ya kawaida inaonekana wakati anadate na Kitwana alikuwa anaendelea kuzaa na Msauzi, mambo ya ajabu kabisa haya. Kwa interval ya kutoka mwaka 1972 mpaka 1975 ni miaka mitatu, unless atueleze kwamba either alizaa hao watoto kabla ya kuowana na Cliff au alizaa watoto kama Mhindi
nilifurahi swali la Shyrose Bhanji lilikuwa na msingi afu hakuna jibu.
Kuna vitu vinatia maudhi hata kama havikuhusu, huyu mama ni janga kwa kweli.
...............Hongera sana .. watu walijua huna elimu kumbe ni mwanasheria aliyekubuhu.................
kilaza, UWT haitakaa isonge mbele.
Huyu mama mwaka 1972 aliolewa na Cliff (Msauzi) na akazaa nae watoto wawili, then 1975 akawa anadate na mume wa mtu Kitwana Kondo. Katika hali ya kawaida inaonekana wakati anadate na Kitwana alikuwa anaendelea kuzaa na Msauzi, mambo ya ajabu kabisa haya. Kwa interval ya kutoka mwaka 1972 mpaka 1975 ni miaka mitatu, unless atueleze kwamba either alizaa hao watoto kabla ya kuowana na Cliff au alizaa watoto kama Mhindi
Mbona kazaazaa tu na kawa na mabiifrendi wengi hivi..khaaaa