MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,585
- 30,054
Wewe ndiye unaeamini kuwa Magufuli ni kiongozi asiyetiliwa shaka. Mimi siamini hivyo, We mpe kura yako Magufuli mi nampa kura yangu Lowassa. Simple tu. Bado maamuzi ni yangu wala sihitaji ushawishi kama huu.
Unadanganya hapa unajua sana sema mnafuata mkumbo