Why...?Mwaka 1972,Babu alipokuwa katika mkutano wa Mawaziri wa OAU (sasa AU),huko Adis Ababa,huku nyuma,Mwalimu Nyerere alimwondoa katika nafasi ya uwaziri.
...Prof. Babu alikuwa mjamaa ambaye aliweza kuuona ukweli wa kile kilichokuwa kinaendelea duniani kiuchumi na kisiasa. Hii inaonekana dhahiri miaka ya mwishoni mwa uhai wake, katika machapisho aliyoyafanya, kama, lile linaloongelea "the second liberation of africa".Katika kitabu cha Prof.Babu kiitwacho African Socialism or Socialist Africa? ndicho pengine kinaonyesha Babu alikuwa na mrengo gani.Kifupi ni kwamba ni kweli Prof.Babu alikuwa mjamaa.Tofauti na Mwalimu Nyerere ilikuwa ni namna ya kutekeleza sera za ujamaa.Prof.Babu alikuwa anataka Scientific Socialism,ujamaa unaotokana na mazingira ya nchi za kiafrika,kuliko kuiga kila kitu kutoka mataifa ya ujamaa kama vile Uchina.Maana inasemekana Mwalimu Nyerere alichukua sera za ujamaa kutoka China (hasa sera ya vijiji) ambayo baadae wote tunajua nini kilichotokea.
...Hata mie nataka kuamiani hivyo.pamoja na kiu ya Babu kuitawala Zanzibar kwa njia yeyote lakini kitu ninachoamini na kinachoaminika na wengi ni kuwa kama angetawala, Zanzibar ingekuwa mbali mno kutokana uwezo wake Prof. Babu.
Why...?
Kama ndio hivyo basi alipokuwa fired angerudishwa Zanzibar au angekamatwa. Sasa mtu mnaeogopa atapindua nchi ukimtoa kwenye uwaziri ukamwacha mtaani ndio anakuwa sio hatari?...kwamba Prof.Babu aliondolewa kwenye uwaziri kutokana na shinikizo kutoka kwa Karume ambaye alikuwa anaona hatari ya kupinduliwa huko Zanzibar....
Ndio maana ninadharau sana media na wanahistoria wa Tanzania, Nyerere amekufa na siri hizo, Karume amekufa na siri hizo, Babu amekufa na siri hizo, Kawawa ambae labda angejua jua, amekufa na siri hizo, hakuna aliyekuwa na kende au udadisi wa kumuuliza Nyerere mambo haya, na nikasema wakati wa msiba wa David Wakati, kwamba Tanzania haikuwahi kuwa na media wakati ule na mpaka leo haina wana historia. Mambo mengi bado hayajulikani badala yake tunadanganywa tu.Ni vigumu sana kueleza kwa ufasaha kwanini Babu aliondolewa kwenye Baraza la Mawaziri tena akiwa nje ya nchi.
Hivi Abdularahman Mohamed Babu aliwahi kuwa Profesa? Sikumbuki. Nikumbusheni.
Naomba kujua historia ya prof. Mohamed Babu.
mzee ; Mzee Mohamed Said na Ahmed Rajabu mtujuze
Ni katika watu wabaya sana waliowahi kutokea Tanzania.
Moja ya sifa yake kubwa aliyokuwa nayo niuwezo wa kuwashawishi watu, Anaweza akatukusanya akatupa darasa la dakika tano tu na baada yahapo kila mmoja akavaa bomu na kwenda kujiripua. Jamaa hakuwa mtu wakawaida kabisa.
Muulize mwanae Feruzi BabuNaomba kujua historia ya prof. Mohamed Babu.
mzee ; Mzee Mohamed Said na Ahmed Rajabu mtujuze
humjui utamfananisha na gaid kasome : AFRICAN SOCIALISM OR SOCIALISM AFRICA?Ni katika watu wabaya sana waliowahi kutokea Tanzania.
Moja ya sifa yake kubwa aliyokuwa nayo niuwezo wa kuwashawishi watu, Anaweza akatukusanya akatupa darasa la dakika tano tu na baada yahapo kila mmoja akavaa bomu na kwenda kujiripua. Jamaa hakuwa mtu wakawaida kabisa.
humjui utamfananisha na gaid kasome : AFRICAN SOCIALISM OR SOCIALISM AFRICA?
Je, hakuwa na mazuri hata kidogo??