englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Kumbe ni mtanzania anayeishi singapore? Nilidhani anaishi huku kwetu kweditilibe. Hakuna cha ajabu hapo. Mbona Obama ni mkenya lakini ni rais wa marekani.
huyo siyo mtz
elimu hii ya bongo ya kupewa credit na serikali itafanya nn!?
Kumbe ni mtanzania anayeishi singapore? Nilidhani anaishi huku kwetu kweditilibe. Hakuna cha ajabu hapo. Mbona Obama ni mkenya lakini ni rais wa marekani.
Kumbe ni mtanzania anayeishi singapore? Nilidhani anaishi huku kwetu kweditilibe. Hakuna cha ajabu hapo. Mbona Obama ni mkenya lakini ni rais wa marekani.
Mbona wapo wengi wenye uwezo hapa Bongo!! tatizo ni mazingira ya kuonyesha uwezo wao na kupata support kutoka kwenye finance institutions.