Huyu ndiye mbaya wa UDOM?

Baba Tina

Senior Member
Dec 22, 2010
131
2
PROF. SHABAN MLACHA wa idara ya kiswahili anaendelea kulalamikiwa kuwa ndiye chanzo kikuu cha migogoro katika chuo kikuu cha Dodoma. Prof huyo ambaye pia ndio naibu makamu mkuu wa chuo anayesimamia mipango, pesa na utawala anatajwa kua mtu mwenye kiburi, dharau na majivuno kiasi cha kusababisha walimu wengi chuoni hapo kukimbia na kuhamia katika vyuo vya UDSM, SUA, SUZA, DUCE, MUCE, SAUT, N.K. Idadi ya walimu waliokwisha hama chuoni haponi kubwa na imekua ikiongezeka kila kukicha. Amekua akibana pesa kupita kiasi na kusababisha assessment ya wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutofanyika kwa ufanisi. Hata migomo ya wanafunzi inadaiwa kwa kiasi kikubwa kusababishwa na prof MLACHA ambaye inasemekana ana madaraka makubwa kuliko hata Vice Chancellor wa chuo hicho. Wapo wanaodai kua PROF MLACHA ni swahiba wa karibu sana na Mkuu wa KAYA na kwamba wameoa nyumba moja. Wadau wa UDOM Mnasemaje juu ya hili tunaomba maoni yenu.
 
Sishangai sana kwa UDOM, kwa maana hata kiongozi wa nchi yuko hivyo hivyo like father mchakachuaji like son mchakachuaji
 
PROF. SHABAN MLACHA wa idara ya kiswahili anaendelea kulalamikiwa kuwa ndiye chanzo kikuu cha migogoro katika chuo kikuu cha Dodoma. Prof huyo ambaye pia ndio naibu makamu mkuu wa chuo anayesimamia mipango, pesa na utawala anatajwa kua mtu mwenye kiburi, dharau na majivuno kiasi cha kusababisha walimu wengi chuoni hapo kukimbia na kuhamia katika vyuo vya UDSM, SUA, SUZA, DUCE, MUCE, SAUT, N.K. Idadi ya walimu waliokwisha hama chuoni haponi kubwa na imekua ikiongezeka kila kukicha. Amekua akibana pesa kupita kiasi na kusababisha assessment ya wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutofanyika kwa ufanisi. Hata migomo ya wanafunzi inadaiwa kwa kiasi kikubwa kusababishwa na prof MLACHA ambaye inasemekana ana madaraka makubwa kuliko hata Vice Chancellor wa chuo hicho. Wapo wanaodai kua PROF MLACHA ni swahiba wa karibu sana na Mkuu wa KAYA na kwamba wameoa nyumba moja. Wadau wa UDOM Mnasemaje juu ya hili tunaomba maoni yenu.

wewe kwanza badili usemi wako...yaani walimu wakimbie UDOM waje udsm?hakuna kitu kama hicho na usahau...watu wanatoka udsm na GPA zao ndogo za kuchechemea ndo wanakimbilia udom kufundisha.POLE SANA WANAFUNZI WA UDOM CHUO KIKUBWA KULIKO VYOTE NCHINI TEH TEH SIJUI CHUO NI MAJENGO!!!!!
 
wewe uislama unaingiaje hapo sasa,,nyie ndo wachochezi mnaotafutwa na ccm msulubiwe
 
aliyekudanganya nani kwa taarifa zako vigezo vya kuajiri UDOM NA UDSM ni vilezile undergraduate lazima upate GPA ya 3.8 au zaidi na masters lazima upate GPA ya 4.0 au zaidi. Zaidi ya hapo kama ulikua hujui asilimia 80 ya walimu wa UDOM walikua wanafundisha UDSM kwa hiyo wanapoona UDOM hakueleweki wanaamua kurudi UDSM kama huamini nenda UDSM idara za sociology, Kiswahili kaulize wangapi wametoka UDOM. Nenda pia DUCE idara ya Political science, literature kaulize utaambiwa. hiyo ni mifano michache tu lakini walimu kibao wamehama kwenda UDSM na kwingineko. Na hata hao ma tutorial assistants asilimia zaidi ya 70 wamemaliza UDSM, wengine wamemaliz SUA na Mzumbe na wamepiga GPA kali tu. ACHA KUROPOKA BILA KUA NA DATA NAOMBA UNITAJIE MWALIMU MWENYE GPA YA KUCHECHEMEA UDOM.
 
wewe kwanza badili usemi wako...yaani walimu wakimbie UDOM waje udsm?hakuna kitu kama hicho na usahau...watu wanatoka udsm na GPA zao ndogo za kuchechemea ndo wanakimbilia udom kufundisha.POLE SANA WANAFUNZI WA UDOM CHUO KIKUBWA KULIKO VYOTE NCHINI TEH TEH SIJUI CHUO NI MAJENGO!!!!!


aliyekudanganya nani kwa taarifa zako vigezo vya kuajiri UDOM NA UDSM ni vilezile undergraduate lazima upate GPA ya 3.8 au zaidi na masters lazima upate GPA ya 4.0 au zaidi. Zaidi ya hapo kama ulikua hujui asilimia 80 ya walimu wa UDOM walikua wanafundisha UDSM kwa hiyo wanapoona UDOM hakueleweki wanaamua kurudi UDSM kama huamini nenda UDSM idara za sociology, Kiswahili kaulize wangapi wametoka UDOM. Nenda pia DUCE idara ya Political science, literature kaulize utaambiwa. hiyo ni mifano michache tu lakini walimu kibao wamehama kwenda UDSM na kwingineko. Na hata hao ma tutorial assistants asilimia zaidi ya 70 wamemaliza UDSM, wengine wamemaliz SUA na Mzumbe na wamepiga GPA kali tu. ACHA KUROPOKA BILA KUA NA DATA NAOMBA UNITAJIE MWALIMU MWENYE GPA YA KUCHECHEMEA UDOM.
 
Huyo MLACHA tunamjua sana hapa UDSM alikuwa analeta uvulivuli hapa kwenye idara ya kiswahili (udsm) ikaja fursa akafanyiwa mchujo huko UDOM nilishangaa sana kusikia amekuwa makamu mkuu wa chuo kwa sababu nilijua mmekwisha.

Rafiki yangu alikwenda kufanya TP kwenye shule yake KIRINJIKU kule MAKANYA akawatimua wanafunzi wote wa UDSM akasema watawafundisha wanafunzi wake kugoma!

Waulizeni MKWAWA walimtumuaje PROF TUNGARAZA aliyekuwa makamu mkuu wa chuo huko sasa hivi anachezea CHAKI hapa mlimani kama kawa.
 
Inamaana Prof.Mlacha si mtaalam wa uongozi? Na kama ndivyo, mkuu wa kaya kamzawadia? Kama ndivyo, basi UDOM kwiiiiiisha kabisa.
 
PROF. SHABAN MLACHA wa idara ya kiswahili anaendelea kulalamikiwa kuwa ndiye chanzo kikuu cha migogoro katika chuo kikuu cha Dodoma. Prof huyo ambaye pia ndio naibu makamu mkuu wa chuo anayesimamia mipango, pesa na utawala anatajwa kua mtu mwenye kiburi, dharau na majivuno kiasi cha kusababisha walimu wengi chuoni hapo kukimbia na kuhamia katika vyuo vya UDSM, SUA, SUZA, DUCE, MUCE, SAUT, N.K. Idadi ya walimu waliokwisha hama chuoni haponi kubwa na imekua ikiongezeka kila kukicha. Amekua akibana pesa kupita kiasi na kusababisha assessment ya wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutofanyika kwa ufanisi. Hata migomo ya wanafunzi inadaiwa kwa kiasi kikubwa kusababishwa na prof MLACHA ambaye inasemekana ana madaraka makubwa kuliko hata Vice Chancellor wa chuo hicho. Wapo wanaodai kua PROF MLACHA ni swahiba wa karibu sana na Mkuu wa KAYA na kwamba wameoa nyumba moja. Wadau wa UDOM Mnasemaje juu ya hili tunaomba maoni yenu.
Huyu ni Prof. Wakiswahili hana kabisa element ya admistrator, hebu ona kwenye orientetion ya waajiriwa wapya anadhubutu kutishia kufanya kitu mbaya naukiamua kwenda popote iwe ni ikulu ataitwa na atakuacha wewe wanakushughuli yaana huyo bwana ana jeuri kwa sababu ya uswahiba wa kuoleana na JK. Nikweli kabi ame mu overpower kikula.
 
aliyekudanganya nani kwa taarifa zako vigezo vya kuajiri UDOM NA UDSM ni vilezile undergraduate lazima upate GPA ya 3.8 au zaidi na masters lazima upate GPA ya 4.0 au zaidi. Zaidi ya hapo kama ulikua hujui asilimia 80 ya walimu wa UDOM walikua wanafundisha UDSM kwa hiyo wanapoona UDOM hakueleweki wanaamua kurudi UDSM kama huamini nenda UDSM idara za sociology, Kiswahili kaulize wangapi wametoka UDOM. Nenda pia DUCE idara ya Political science, literature kaulize utaambiwa. hiyo ni mifano michache tu lakini walimu kibao wamehama kwenda UDSM na kwingineko. Na hata hao ma tutorial assistants asilimia zaidi ya 70 wamemaliza UDSM, wengine wamemaliz SUA na Mzumbe na wamepiga GPA kali tu. ACHA KUROPOKA BILA KUA NA DATA NAOMBA UNITAJIE MWALIMU MWENYE GPA YA KUCHECHEMEA UDOM.


Kaka nakubaliana na wewe, lakini kuondoka kwa walimu UDOM kunachangiwa na nini? Hilo ndo la muhimu. Pili wanakuwa replaced na watu gani? Maana UDOM imekuwa zoa zoa ya GPA za uongo na ukweli kutoka Kampala International University. Maana Kampala mtu ana Division 4 ya form four, Division four ya form six, anatoka na first class. Ukienda kuomba kazi UDOM wanaangalia GPA peke yake.
 
PROF. SHABAN MLACHA wa idara ya kiswahili anaendelea kulalamikiwa kuwa ndiye chanzo kikuu cha migogoro katika chuo kikuu cha Dodoma. Prof huyo ambaye pia ndio naibu makamu mkuu wa chuo anayesimamia mipango, pesa na utawala anatajwa kua mtu mwenye kiburi, dharau na majivuno kiasi cha kusababisha walimu wengi chuoni hapo kukimbia na kuhamia katika vyuo vya UDSM, SUA, SUZA, DUCE, MUCE, SAUT, N.K. Idadi ya walimu waliokwisha hama chuoni haponi kubwa na imekua ikiongezeka kila kukicha. Amekua akibana pesa kupita kiasi na kusababisha assessment ya wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutofanyika kwa ufanisi. Hata migomo ya wanafunzi inadaiwa kwa kiasi kikubwa kusababishwa na prof MLACHA ambaye inasemekana ana madaraka makubwa kuliko hata Vice Chancellor wa chuo hicho. Wapo wanaodai kua PROF MLACHA ni swahiba wa karibu sana na Mkuu wa KAYA na kwamba wameoa nyumba moja. Wadau wa UDOM Mnasemaje juu ya hili tunaomba maoni yenu.

nyumba ipi? kwa kina Salma au ile nyingine?
 
aliyekudanganya nani kwa taarifa zako vigezo vya kuajiri UDOM NA UDSM ni vilezile undergraduate lazima upate GPA ya 3.8 au zaidi na masters lazima upate GPA ya 4.0 au zaidi. Zaidi ya hapo kama ulikua hujui asilimia 80 ya walimu wa UDOM walikua wanafundisha UDSM kwa hiyo wanapoona UDOM hakueleweki wanaamua kurudi UDSM kama huamini nenda UDSM idara za sociology, Kiswahili kaulize wangapi wametoka UDOM. Nenda pia DUCE idara ya Political science, literature kaulize utaambiwa. hiyo ni mifano michache tu lakini walimu kibao wamehama kwenda UDSM na kwingineko. Na hata hao ma tutorial assistants asilimia zaidi ya 70 wamemaliza UDSM, wengine wamemaliz SUA na Mzumbe na wamepiga GPA kali tu. ACHA KUROPOKA BILA KUA NA DATA NAOMBA UNITAJIE MWALIMU MWENYE GPA YA KUCHECHEMEA UDOM.
Mkuu acha uongo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom