Huyu ndiye Kanyaboya bondia mwenye mikwara mingi ila uwezo sifuri

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,450
21,142
Unamjua "KANYABOYA"?

Kanya Boya alikuwa bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu, jina kamili Felix Kanyaboya alikuja Tanzania kati ya Miaka ya 1986/1987. Alikuwa anafikia Hotel za mitaa ya Kariakoo...

2/ Sifa yake kubwa ilikuwa ni mikwara, kama Mandonga. Siku ambayo alikuwa na pambano, alitokea hotelini mitaa ya Kariakoo na kutembea kwa mguu akiwa amevalia kabisa gloves, viatu na gum shield. Alipasha njia nzima huku akipiga hewa, akirukaruka na watu walipiga shangwe za kutosha na kumsindikiza hadi pale Railway Club Gerezani Kariakoo. Sasa pambano kuanza ulingoni, hachukua hata raundi 2, akachapwa KO za haja.

Alipigwa na Habibu Kinyogoli na Omari Yazidu Omari kama mtoto

Basi Kuanzia hapo, ndio likazaliwa asili ya neno KANYABOYA Tanzania.

Screenshot_20230813-214357_1.jpg
 
Unamjua "KANYABOYA"?

Kanya Boya alikuwa bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu, jina kamili Felix Kanyaboya alikuja Tanzania kati ya Miaka ya 1986/1987. Alikuwa anafikia Hotel za mitaa ya Kariakoo...

2/ Sifa yake kubwa ilikuwa ni mikwara, kama Mandonga. Siku ambayo alikuwa na pambano, alitokea hotelini mitaa ya Kariakoo na kutembea kwa mguu akiwa amevalia kabisa gloves, viatu na gum shield. Alipasha njia nzima huku akipiga hewa, akirukaruka na watu walipiga shangwe za kutosha na kumsindikiza hadi pale Railway Club Gerezani Kariakoo. Sasa pambano kuanza ulingoni, hachukua hata raundi 2, akachapwa KO za haja.

Alipigwa na Habibu Kinyogoli na Omari Yazidu Omari kama mtoto

Basi Kuanzia hapo, ndio likazaliwa asili ya neno KANYABOYA Tanzania.

View attachment 2716598
Mwananyamala posta eeh, Manzese kariakoo, Tandika shule ya uhuru baba, ogopa kanyaboya..!! NIMEKUMBUKA MBALI SANA
 
Unamjua "KANYABOYA"?

Kanya Boya alikuwa bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu, jina kamili Felix Kanyaboya alikuja Tanzania kati ya Miaka ya 1986/1987. Alikuwa anafikia Hotel za mitaa ya Kariakoo...

2/ Sifa yake kubwa ilikuwa ni mikwara, kama Mandonga. Siku ambayo alikuwa na pambano, alitokea hotelini mitaa ya Kariakoo na kutembea kwa mguu akiwa amevalia kabisa gloves, viatu na gum shield. Alipasha njia nzima huku akipiga hewa, akirukaruka na watu walipiga shangwe za kutosha na kumsindikiza hadi pale Railway Club Gerezani Kariakoo. Sasa pambano kuanza ulingoni, hachukua hata raundi 2, akachapwa KO za haja.

Alipigwa na Habibu Kinyogoli na Omari Yazidu Omari kama mtoto

Basi Kuanzia hapo, ndio likazaliwa asili ya neno KANYABOYA Tanzania.

View attachment 2716598
Umetisha mzee.
 
Dah! Nimelisikia na kulitumia sana neno kanyaboya lakini sikuelewa chanzo chake. Nimeelimika.

Nilidhani limeanzia kwenye mambo ya karata tatu.
Kwa mara ya kwanza Bi. Mama umetoa positive comment kwa mtu alietoa elimu ya jambo.

Maana daima kama si kukosoa uandishi basi huwa ni dhihaka.
 
Kwa mara ya kwanza Bi. Mama umetoa positive comment kwa mtu alietoa elimu ya jambo.

Maana daima kama si kukosoa uandishi basi huwa ni dhihaka.
Unanisoma kwa uoga tu.

Unayodhani wewe siyo "positive" ndiyo "positivity" yenyewe hiyo. Usifikiri kukubaliana na kila uharo ndiyo kuwa "positive".
 
Back
Top Bottom