I was expecting to see comment,ndo mada zako pendwaAseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
I was expecting to see comment,ndo mada zako pendwaAseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Mkuu unanivunja mbavu, mawe unayorusha yana kilo nyingi sana.Wa mtaani,kanisani,chuoni,kazini na kwenye magari kote amechagua akakosa ndo kaona aje kusagulasagula hizi fake IDs ndo zimfae...ukiona mtu mpaka kafikia kutafuta mtu wa kuishi nae maisha mitandaoni na bado ana masharti kama kazi za ukurugenzi kwenye mashirika ya mawasiliano ujue kuna tatizo tena kubwa sana,hili ni nung'aembe mkuu,wenye macho makali tushaona..
NB:Am married,i do this for fun.
12 napenda sana competition sipend mme wangu azidiwe na wanaume wengine hasa kimaendeleo
mimi mke wangu ana miaka 27 na ameshafunga kizazi wewe ulikuwa wapi,unataka kumalizia uzee wako na nani?shindwa
Haja chekesha tu... Ameushangaza uzi huu na hadhira kwa ujumla...Inachekesha pale unaposema unataka mwanaume(mume) wako asizidiwe na mtu maendeleo, hata Mzee Mengi au Mzee Bhakresa wamezidiwa na kijana Mohmed Dewji a.k.a MO. Huyo mume mwenye sifa zote hizo subiri ukifa na kufufuka tena ukiwa hauna dhambi utakutana nae mbinguni. Maana Yesu pekee ndio alikuwa tajiri wa roho kuliko yeyote hapa duniani. na alikuwa anauwezo wa kupata chochote hapa duniani kwa hivyo yeye ni tajiri hasa.
Karibu tulale sasalala ni usiku sasa
Mmmh.. angalia vizuri hiyo comment yake shost!Niliona swali ni kwa mwingine then ukajibu wewe mama.
Hivi we ndo atoto???....c'monHaya.
Ulishaona nimeleta tangazo la kutafuta Mme humu?
Au nilishawahi kukutaka?