Huyu ndio mwanamke

andazi

Member
Joined
Jun 7, 2025
Posts
48
Reaction score
213
Muhenga aliyesema shukrani ya punda ni mateke kuna uwezekano alikuwa anaongelea wanawake πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜ƒ

Just imagine mwanamke unapambana kumtongoza mwisho unampata baada ya kumpata unajitambulisha kwao kama mume mtarajiwa baada ya hapo unaweka mahari.

Angalia sana sasa una mtoa kwao na kumpeleka kwako
Anakula pesa zako Unapambana usiku na mchana ili ale vizuri na kuvaa vizuri. Anazaa mtoto awe wakike au wakiume anakuja kuimba nani kama mama

Lakini pamoja na yote haya uyu unayemlea na kumtunza ndo atakuwa Jaribu lako la kwanza. Atapambana usiku na mchana kushusha thamani yako ili akumiliki vizuri uwe bwege, taila, tatatu lolokwa

Ili apate kukuendesha kama rimoti
 
Kwan vitabu vya dini vinasemaje kuhusu wanawake?
Mbona kizaz hiki mnalalamika sana kuhusu ndoa na wanawake
Hebu kaeni na wazee wenu baba zenu wawape busara za kuishi na wanawake sio Kila siku kelele tu
Ivi baba yako angekua analalamika ivi kama ww ungekuwepo Sasa ivi
 
Katika viumbe ambao hawana shukrani duniani basi ni mwanamke!, hata umfanyie vipi kesho tu wema wako wa jana unasahaulika na kupigwa vita!.
Amekuomba umfanyie? Na je unamfanyia huku akiwa anajua unamfanyia kwa sababu gani??

We ukiona unajitoa sana na hupati kile unahitaji piga chini.
 
Mnalalamika sana, inafikia hatua mnaamua kuwa wenyewe kwa wenyewe.
Lol
 
Kwaiyo tatizo sio mwanamke, tatizo ni mwanaume. Kwamba mwanaume ana intention nzuri lakini mwanamke ni opportunistic lakini mwenye shida ni mwanaume. Ni lini wanawake mtakubali accountability kwa kusema kwamba nyie ni tatizo?

Hivyo vitabu vya dini ni outdated, na hao wazee wetu wakiweza kudeal na wanawake kipindi ambacho patriarch ilikua imeshika hatamu. Wanawake wa kipindi kike sio hawa wa sasa hivi ambao wamefundishwa haki sawa lakini hawajaambiwa kwamba haki sawa inaenda sambamba na wajibu sawa.
 
Alijaribu,nikaponyoka kama nyoka vile!!

Sasa hasira kibao vikao vya vitisho haviishi mara ofisi ya mtendaji Kijiji mara kituo Cha polisi!

Mwisho wa siku na bypass Kila tukio lake!!

Viumbe vya ajabu hawa!!
 
Mwanamke ni shujaa sana kati ya viumbe hapa duniani,siwasifii wanawake bali najaribu kuonesha picha yao halisi,imagine mwanamke anakufulia boxer zako zenye mavimavi kila siku huo sio ushujaa? Hajakuvumilia? NANI KAMA MAMA JAMANI?
 
Vijana jipeni kipaumbele nyie wenyewe.

Mwanamke ana mikono na miguu miwili kama wewe,

Ana masaa 24 ya siku kama wewe.

Ana wazazi na ndugu kama wewe.

Amepewa fursa zote kama wewe

Ni mtu mzima mwenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya kazi kama wewe.
 
Wanawake ni Padua vichwa by nature ila hatuna budi ya kuishi nap na ndo maana vitabu vya dini vinatuusia tuishi nao kwa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…