Mabadiliko na Lowasa? Umechanganyikiwa bana. Kwenda huko hakuna mapya na fisadi mkuu wa nchi hii. Kamwe Ikulu si ya majizi na wafanyabiashara. Viva Magufuli ingia Ikulu ukomeshe mafisadi wanahaha!Lazima ccm ife kwanza ndio wananchi wapate mabadiliko wanayoyataka
Ajawahi kutuambia kama atafuata katiba Iliyochakachuliwa na CCM au atafuata ili Katiba ya maoni ya wananchi. Kwani kwa sasa naona ni mtu anaeropoka tu kwani hayo anayoyazungumza kamwe hawezi kuyatekeleza kupitia katiba mbovu iliyopitishwa na maCCMHUYU NDIO MAGUFULI:
"Uwajibikaji ndio suluhisho la wazembe, nitajenga utamaduni mpya wa uwajibikaji, kutakuwa hakuna kusameheana, kubebana wala kujuana. Nitaimarisha mfumo mzima wa utumishi wa umma ili kuiwezesha serikali kuwatumikia wananchi lakini pia kurahisisha utoaji adhabu kwa watakaozembea badala ya kulindana na kuunda tume na kamati zisizo na tija"
Magufuli sio mtu wa kufananishwa na mafisadi, historia yake inampatia heshima kubwa sana ndani na nje ya nchi.
Kwanini Mwl. Nyerere kwa kutumia hiyo hiyo katiba aliweza kufanya mazuri tena wakati huo ilikuwa haijafanyiwa mabadiliko makubwa 1984?Ajawahi kutuambia kama atafuata katiba Iliyochakachuliwa na CCM au atafuata ili Katiba ya maoni ya wananchi. Kwani kwa sasa naona ni mtu anaeropoka tu kwani hayo anayoyazungumza kamwe hawezi kuyatekeleza kupitia katiba mbovu iliyopitishwa na maCCM
HUYU NDIO MAGUFULI:
"Uwajibikaji ndio suluhisho la wazembe, nitajenga utamaduni mpya wa uwajibikaji, kutakuwa hakuna kusameheana, kubebana wala kujuana. Nitaimarisha mfumo mzima wa utumishi wa umma ili kuiwezesha serikali kuwatumikia wananchi lakini pia kurahisisha utoaji adhabu kwa watakaozembea badala ya kulindana na kuunda tume na kamati zisizo na tija"
HUYU NDIO MAGUFULI:
"Uwajibikaji ndio suluhisho la wazembe, nitajenga utamaduni mpya wa uwajibikaji, kutakuwa hakuna kusameheana, kubebana wala kujuana. Nitaimarisha mfumo mzima wa utumishi wa umma ili kuiwezesha serikali kuwatumikia wananchi lakini pia kurahisisha utoaji adhabu kwa watakaozembea badala ya kulindana na kuunda tume na kamati zisizo na tija"
sasa anatuelezea uzembe na udhaifu wa CCM wakati na yeye mwenyewe alikua katika system. binafsi namuona magufuli anaongea kama mpinzani na anaivua nguo serikali ya CCM
Kweli huyu ndiye mwenye sifa stahiki za kuwa rais wetu.
Baada ya miaka 54, hakuna nafasi nyingine ya kudanganya watu kwa maneno ya kutunga kama haya. CCM mlichoshindwa kukifanya kwa miaka 54, mtawezaje kukifanya kwa miaka mitano ijayo????? HATUDANGANYIKI TENA!!!!!! CCM OUT! Hakuna namna nyingine!!!!!!!
HUYU NDIO MAGUFULI:
"Uwajibikaji ndio suluhisho la wazembe, nitajenga utamaduni mpya wa uwajibikaji, kutakuwa hakuna kusameheana, kubebana wala kujuana. Nitaimarisha mfumo mzima wa utumishi wa umma ili kuiwezesha serikali kuwatumikia wananchi lakini pia kurahisisha utoaji adhabu kwa watakaozembea badala ya kulindana na kuunda tume na kamati zisizo na tija"
Tokea 1977 mpaka 2015 Inatosha. ....
Tusilee usultani, ufalme wa vyama.
Magufuli ni sawa na mtoto ambaye anataka awapangie sheria baba na mama waliomzaa ndani ya ccm ki2 ambacho hakiwezekani kwa kweli
Magufuli ni sawa na mtoto ambaye anataka awapangie sheria baba na mama waliomzaa ndani ya ccm ki2 ambacho hakiwezekani kwa kweli