Huyu ndio demu asiyeeleweka

Huyu ndio demu asiyeeleweka

kenny mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
332
Reaction score
948
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna demu mmoja ni Mpangaji mwenzangu hapa tulipopanga tumepanga wengi sasa Huyo demu ni pisi Kali kinoma toka ameamia ana mwezi mmoja.

Sasa wadau wengi wameshamtongoza anawakataa tu, sasa demu kila nikikutana nae amekuwa akinitazama kwa uoga mbaya zaidi amekuwa akiniangalia sana hali hii ikanifanya nimuombe Namba akanipa

Sasa katika kuchati nikamchana kuwa na muelewa daaah demu akachomoaa kinoma ikabidi nimpotezee

Sasa hivi sasa anazidi tu kuniangalia sana inaonekana kama ananieelewa ila pia anazingua

Wadau nitumie mbinu ipi?
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna demu mmoja ni Mpangaji mwenzangu hapa tulipopanga tumepanga wengi sasa Huyo demu ni pisi Kali kinoma toka ameamia ana mwezi mmoja.

Sasa wadau wengi wameshamtongoza anawakataa tu, sasa demu kila nikikutana nae amekuwa akinitazama kwa uoga mbaya zaidi amekuwa akiniangalia sana hali hii ikanifanya nimuombe Namba akanipa

Sasa katika kuchati nikamchana kuwa na muelewa daaah demu akachomoaa kinoma ikabidi nimpotezee

Sasa hivi sasa anazidi tu kuniangalia sana inaonekana kama ananieelewa ila pia anazingua

Wadau nitumie mbinu ipi?
Labda anakuangalia anakushangaa ulivyo
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna demu mmoja ni Mpangaji mwenzangu hapa tulipopanga tumepanga wengi sasa Huyo demu ni pisi Kali kinoma toka ameamia ana mwezi mmoja.

Sasa wadau wengi wameshamtongoza anawakataa tu, sasa demu kila nikikutana nae amekuwa akinitazama kwa uoga mbaya zaidi amekuwa akiniangalia sana hali hii ikanifanya nimuombe Namba akanipa

Sasa katika kuchati nikamchana kuwa na muelewa daaah demu akachomoaa kinoma ikabidi nimpotezee

Sasa hivi sasa anazidi tu kuniangalia sana inaonekana kama ananieelewa ila pia anazingua

Wadau nitumie mbinu ipi?

Leta pisi kali mwingine maeneo ya ghetto na uhakikishe ameona wakati huyo demu anaingia.
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna demu mmoja ni Mpangaji mwenzangu hapa tulipopanga tumepanga wengi sasa Huyo demu ni pisi Kali kinoma toka ameamia ana mwezi mmoja.

Sasa wadau wengi wameshamtongoza anawakataa tu, sasa demu kila nikikutana nae amekuwa akinitazama kwa uoga mbaya zaidi amekuwa akiniangalia sana hali hii ikanifanya nimuombe Namba akanipa

Sasa katika kuchati nikamchana kuwa na muelewa daaah demu akachomoaa kinoma ikabidi nimpotezee

Sasa hivi sasa anazidi tu kuniangalia sana inaonekana kama ananieelewa ila pia anazingua

Wadau nitumie mbinu ipi?
Mkuu, sio kila demu anayekuangalia au anayekukazia macho kwa wasi wasi basi anahisia na ww. Wengine wanakuwa wanajamba. Pale anavyokuwa amekukazia macho, muda huo huo anakuwa anajamba taratibu taratibu
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna demu mmoja ni Mpangaji mwenzangu hapa tulipopanga tumepanga wengi sasa Huyo demu ni pisi Kali kinoma toka ameamia ana mwezi mmoja.

Sasa wadau wengi wameshamtongoza anawakataa tu, sasa demu kila nikikutana nae amekuwa akinitazama kwa uoga mbaya zaidi amekuwa akiniangalia sana hali hii ikanifanya nimuombe Namba akanipa

Sasa katika kuchati nikamchana kuwa na muelewa daaah demu akachomoaa kinoma ikabidi nimpotezee

Sasa hivi sasa anazidi tu kuniangalia sana inaonekana kama ananieelewa ila pia anazingua

Wadau nitumie mbinu ipi?
Mkaushie, kuwa kauzu hata salamu usitoe
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna demu mmoja ni Mpangaji mwenzangu hapa tulipopanga tumepanga wengi sasa Huyo demu ni pisi Kali kinoma toka ameamia ana mwezi mmoja.

Sasa wadau wengi wameshamtongoza anawakataa tu, sasa demu kila nikikutana nae amekuwa akinitazama kwa uoga mbaya zaidi amekuwa akiniangalia sana hali hii ikanifanya nimuombe Namba akanipa

Sasa katika kuchati nikamchana kuwa na muelewa daaah demu akachomoaa kinoma ikabidi nimpotezee

Sasa hivi sasa anazidi tu kuniangalia sana inaonekana kama ananieelewa ila pia anazingua

Wadau nitumie mbinu ipi?

Soma kwa hidii ndo mbinu nzuri
 
Sio kila mwanamke anayekuangalia usoni eti anakupenda mwingine ukute anakufananisha mda mwingine si kila demu wa kumtongoza mengine yaache yapite mtakuja kutongoza majini
 
Anajiongezea Thamani kama Asemavyo @~Liverpool VPN hapo Kila Mmoja Anamtaka. Ila Akishapitiwa tu Thaman inashuka
 
ingiza pisi ingine geto kwako akili yake itakaa sawa tu,,,hio kitu ishawahi nitokea nilichofanya nikatafuta demu mwingine mkali akawa anakuja kwangu mara kwa mara,,baada ya muda yeye mwenyew akaanza kijileta
 
Back
Top Bottom