Huyu ndie shujaa wangu

aleesha

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
775
1,117
Kiongozi wa wazanzibar 40000 anayeyaongoza mapambano ya kuipigania Zanzibar dhidi ya Muungano wa kidhalimu ndani ya Mahakama ya haki ya Africa Mashariki akiwa katika hali ngumu ya kiafya baada ya kuwasilisha na kukubaliwa kwa ombi la kuaghirishwa kwa siku hiyo kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ,

Rashid Salum Adiy aliondoka mjini Zanzibar na kuingia mjini Arusha kwa ujasiri mkubwa akiwa na kiwango cha damu asilimia 6.5 ndani ya mwilini mwake kuliko sababishwa na tatizo la pressure na kupasuka kwa mishipa ya damu puwani akiwa mjini Mombasa siku 15 kabla ya tarehe 7 November 2019 Pamoja na ushauri wa daktari kumzuwia asisafiri yeye hakukubali kwani kutokufika mahakamani kwa Agent wa kisheria kutokana na kuwekwa ndani na Rashid asingelikwenda Mahakamani kesi ya Muungano ingelikuwa ndio mwisho wake,

Hivyo Rashid alikubali afe mbele ya Mahakama ila kesi ya Muungano iendelee kuwepo mbele ya Mahakama
 
Huyu ndio SHUJAA WETU vita ni kubwa adui amejizatiti ila ushindi ni lazima
# BRING OUR NATION BACK
#FREE ZANZIBAR
Zanzibar ipi?!

Zanzibar ni pande la ardhi lililojimegua kutoka Tanganyika karne nyingi zilizopita......by Hamadi Rashidi mbunge wa BMK!
 
Muungano wa Tanzania yaani Tanganyika na Zanzibar ni mzuri na kwenye manufaa kama ingekuwa sio ccm kujimwambafai na kuamua bara kuitawala Zenji.
Mfumo wa muungano uliopendekezwa na Katiba ya Warioba ndio ungekuwa muungano bora kabisa. Wazanzibar mumeonewa sana toka 1995 mnachaguliwa kiongozi na wakwenu anatupiwa shimoni.
Kama mnataka muupate muungano bora ondoeni ccm hata kwa nguvu maana hiari hawataki
 
Back
Top Bottom