Rutorial k
JF-Expert Member
- Jun 8, 2014
- 937
- 817
logical question!!Why Magufuli anajifanya mzalendo sahivi wakati awamu zote za upigaji alikuwa waziri?
logical question!!Why Magufuli anajifanya mzalendo sahivi wakati awamu zote za upigaji alikuwa waziri?
.....are discussing....Kwa bahati mbaya ya magu not now. For now we are discuss nape
Tatizo si Nape tu,tatizo ni watoto wa Viongozi vigogo hujiona nao ni viongozi automaticaly,kana kwamba kuongoza wananchi ni urithi na ni haki yao.Alianzia kubwata maeneo ya Morocco alipoatimuliwa uwaziri hadi akatishiwa pisto na usalama. Akaita press conference alafu akaongea pumba hakuna hata point moja aliyosema zaidi ya waandishi "kumpump" afunguke ili kesho wauze gazeti.
Haikutosha Suala la Lissu halikumpita nyuma akabwata eti Mara ooh wewe Nape mi mjomba wako kwanini usije huku sijui Mara gari jeupe.
Pia jimboni kwake huko akaiponda nchi eti watu wanaishi kwa mashaka Roma katekwa, Saanane katekwa, Lissu kapigwa bastola. Tena na kujitamba nipo nchini mwangu lazima niwe huru.
My friend Nape remember you are honourable member of the parliament , you need to talk polite language and not panic anywhere.
Kumbuka Wewe ndo ulimpindua mbunge wa mpinzani ukachukua Jimbo wewe, Pia uliwaambia wapinzani tutashinda urais hata kwa bao la mkono. Wewe Pia ukasema mlikaa porini kutafuta ushindi sasa sijui kwa sangoma?
Kati ya zote alama mbaya uliyowaachia wapinzani ni kufunga bunge ukidai TBC inaelemewa kwa gharama za urushaji mubashara. Ikiwa ulisapoti bunge lisirushwe mubashara huku ukijua uraiani hasa wa Jimbo lako unawanyima uhuru wa habari ambapo leo umekuwa kinyonga unadai nchi haina uhuru wa kuongea.
Je, unasema hayo uyasemayo ya uhuru wa habari yanatoka moyoni Au ndo hasira za uwaziri?
Alianzia kubwata maeneo ya Morocco alipoatimuliwa uwaziri hadi akatishiwa pisto na usalama. Akaita press conference alafu akaongea pumba hakuna hata point moja aliyosema zaidi ya waandishi "kumpump" afunguke ili kesho wauze gazeti.
Haikutosha Suala la Lissu halikumpita nyuma akabwata eti Mara ooh wewe Nape mi mjomba wako kwanini usije huku sijui Mara gari jeupe.
Pia jimboni kwake huko akaiponda nchi eti watu wanaishi kwa mashaka Roma katekwa, Saanane katekwa, Lissu kapigwa bastola. Tena na kujitamba nipo nchini mwangu lazima niwe huru.
My friend Nape remember you are honourable member of the parliament , you need to talk polite language and not panic anywhere.
Kumbuka Wewe ndo ulimpindua mbunge wa mpinzani ukachukua Jimbo wewe, Pia uliwaambia wapinzani tutashinda urais hata kwa bao la mkono. Wewe Pia ukasema mlikaa porini kutafuta ushindi sasa sijui kwa sangoma?
Kati ya zote alama mbaya uliyowaachia wapinzani ni kufunga bunge ukidai TBC inaelemewa kwa gharama za urushaji mubashara. Ikiwa ulisapoti bunge lisirushwe mubashara huku ukijua uraiani hasa wa Jimbo lako unawanyima uhuru wa habari ambapo leo umekuwa kinyonga unadai nchi haina uhuru wa kuongea.
Je, unasema hayo uyasemayo ya uhuru wa habari yanatoka moyoni Au ndo hasira za uwaziri?
Swali zuriWhy Magufuli anajifanya mzalendo sahivi wakati awamu zote za upigaji alikuwa waziri?
Low thinking capacity of yours ndio maana ukaandika hayo.Why anaiponda sasa hivi zamani kila kitu ndio hata Kama sio sahihi. my friend acha ushabiki we are need straight statement
Nashangaa hawajibulogical question!!
Inaonesha unahasira sana na wanaokosoa uovu,hebu Fanya mumtumie wasiojulikana enyi kizazi cha nyokaAlianzia kubwata maeneo ya Morocco alipoatimuliwa uwaziri hadi akatishiwa pisto na usalama. Akaita press conference alafu akaongea pumba hakuna hata point moja aliyosema zaidi ya waandishi "kumpump" afunguke ili kesho wauze gazeti.
Haikutosha Suala la Lissu halikumpita nyuma akabwata eti Mara ooh wewe Nape mi mjomba wako kwanini usije huku sijui Mara gari jeupe.
Pia jimboni kwake huko akaiponda nchi eti watu wanaishi kwa mashaka Roma katekwa, Saanane katekwa, Lissu kapigwa bastola. Tena na kujitamba nipo nchini mwangu lazima niwe huru.
My friend Nape remember you are honourable member of the parliament , you need to talk polite language and not panic anywhere.
Kumbuka Wewe ndo ulimpindua mbunge wa mpinzani ukachukua Jimbo wewe, Pia uliwaambia wapinzani tutashinda urais hata kwa bao la mkono. Wewe Pia ukasema mlikaa porini kutafuta ushindi sasa sijui kwa sangoma?
Kati ya zote alama mbaya uliyowaachia wapinzani ni kufunga bunge ukidai TBC inaelemewa kwa gharama za urushaji mubashara. Ikiwa ulisapoti bunge lisirushwe mubashara huku ukijua uraiani hasa wa Jimbo lako unawanyima uhuru wa habari ambapo leo umekuwa kinyonga unadai nchi haina uhuru wa kuongea.
Je, unasema hayo uyasemayo ya uhuru wa habari yanatoka moyoni Au ndo hasira za uwaziri?
Inaonesha unahasira sana na wanaokosoa uovu,hebu Fanya mumtumie wasiojulikana enyi kizazi cha nyokaAlianzia kubwata maeneo ya Morocco alipoatimuliwa uwaziri hadi akatishiwa pisto na usalama. Akaita press conference alafu akaongea pumba hakuna hata point moja aliyosema zaidi ya waandishi "kumpump" afunguke ili kesho wauze gazeti.
Haikutosha Suala la Lissu halikumpita nyuma akabwata eti Mara ooh wewe Nape mi mjomba wako kwanini usije huku sijui Mara gari jeupe.
Pia jimboni kwake huko akaiponda nchi eti watu wanaishi kwa mashaka Roma katekwa, Saanane katekwa, Lissu kapigwa bastola. Tena na kujitamba nipo nchini mwangu lazima niwe huru.
My friend Nape remember you are honourable member of the parliament , you need to talk polite language and not panic anywhere.
Kumbuka Wewe ndo ulimpindua mbunge wa mpinzani ukachukua Jimbo wewe, Pia uliwaambia wapinzani tutashinda urais hata kwa bao la mkono. Wewe Pia ukasema mlikaa porini kutafuta ushindi sasa sijui kwa sangoma?
Kati ya zote alama mbaya uliyowaachia wapinzani ni kufunga bunge ukidai TBC inaelemewa kwa gharama za urushaji mubashara. Ikiwa ulisapoti bunge lisirushwe mubashara huku ukijua uraiani hasa wa Jimbo lako unawanyima uhuru wa habari ambapo leo umekuwa kinyonga unadai nchi haina uhuru wa kuongea.
Je, unasema hayo uyasemayo ya uhuru wa habari yanatoka moyoni Au ndo hasira za uwaziri?
Umesema alitishwa pistol na nani?Alianzia kubwata maeneo ya Morocco alipoatimuliwa uwaziri hadi akatishiwa pisto na usalama. Akaita press conference alafu akaongea pumba hakuna hata point moja aliyosema zaidi ya waandishi "kumpump" afunguke ili kesho wauze gazeti.
Haikutosha Suala la Lissu halikumpita nyuma akabwata eti Mara ooh wewe Nape mi mjomba wako kwanini usije huku sijui Mara gari jeupe.
Pia jimboni kwake huko akaiponda nchi eti watu wanaishi kwa mashaka Roma katekwa, Saanane katekwa, Lissu kapigwa bastola. Tena na kujitamba nipo nchini mwangu lazima niwe huru.
My friend Nape remember you are honourable member of the parliament , you need to talk polite language and not panic anywhere.
Kumbuka Wewe ndo ulimpindua mbunge wa mpinzani ukachukua Jimbo wewe, Pia uliwaambia wapinzani tutashinda urais hata kwa bao la mkono. Wewe Pia ukasema mlikaa porini kutafuta ushindi sasa sijui kwa sangoma?
Kati ya zote alama mbaya uliyowaachia wapinzani ni kufunga bunge ukidai TBC inaelemewa kwa gharama za urushaji mubashara. Ikiwa ulisapoti bunge lisirushwe mubashara huku ukijua uraiani hasa wa Jimbo lako unawanyima uhuru wa habari ambapo leo umekuwa kinyonga unadai nchi haina uhuru wa kuongea.
Je, unasema hayo uyasemayo ya uhuru wa habari yanatoka moyoni Au ndo hasira za uwaziri?
Ndo aina ya viongozi mnaowapika na kuwaamini1000% unafki na uzanfikiWhy anaiponda sasa hivi zamani kila kitu ndio hata Kama sio sahihi. my friend acha ushabiki we are need straight statement
we are need straight statement
Sasa Roma hakutekwa?, Beni sa8 nae je?, vipi kuhusu Lisu, hamukumchapa lisasi za kutosha?? Muacheni Nape atapike Nyongo, nyie Lumumba vp?Alianzia kubwata maeneo ya Morocco alipoatimuliwa uwaziri hadi akatishiwa pisto na usalama. Akaita press conference alafu akaongea pumba hakuna hata point moja aliyosema zaidi ya waandishi "kumpump" afunguke ili kesho wauze gazeti.
Haikutosha Suala la Lissu halikumpita nyuma akabwata eti Mara ooh wewe Nape mi mjomba wako kwanini usije huku sijui Mara gari jeupe.
Pia jimboni kwake huko akaiponda nchi eti watu wanaishi kwa mashaka Roma katekwa, Saanane katekwa, Lissu kapigwa bastola. Tena na kujitamba nipo nchini mwangu lazima niwe huru.
My friend Nape remember you are honourable member of the parliament , you need to talk polite language and not panic anywhere.
Kumbuka Wewe ndo ulimpindua mbunge wa mpinzani ukachukua Jimbo wewe, Pia uliwaambia wapinzani tutashinda urais hata kwa bao la mkono. Wewe Pia ukasema mlikaa porini kutafuta ushindi sasa sijui kwa sangoma?
Kati ya zote alama mbaya uliyowaachia wapinzani ni kufunga bunge ukidai TBC inaelemewa kwa gharama za urushaji mubashara. Ikiwa ulisapoti bunge lisirushwe mubashara huku ukijua uraiani hasa wa Jimbo lako unawanyima uhuru wa habari ambapo leo umekuwa kinyonga unadai nchi haina uhuru wa kuongea.
Je, unasema hayo uyasemayo ya uhuru wa habari yanatoka moyoni Au ndo hasira za uwaziri?
Kila dini kuna hatua ya kukamilika kiroho ili uwe mfuasi wa kweli..mfano waislam kuna kuslim..wakristo wana kubatizwa..Why anaiponda sasa hivi zamani kila kitu ndio hata Kama sio sahihi. my friend acha ushabiki we are need straight statement
Sheria gani aliitetea ya kutunyima bunge live? Wapinzani ndo wakitaka uhuru WA habari walimpinga akawagomea et Leo kaungana nao. Dunia zunguka uyaoneSh
Sheria ya haki ya habari ambayo Nape aliitetea sana bungeni leo hii tunaona magazeti yanafungiwa kila kukicha!.
Nape anasema ukweli ndio. Lakini huo ukweli una tija Au ndo unafiki mana nyuma alipokuwa chomboni hatukumsikia akasema hayaSasa Roma hakutekwa?, Beni sa8 nae je?, vipi kuhusu Lisu, hamukumchapa lisasi za kutosha?? Muacheni Nape atapike Nyongo, nyie Lumumba vp?