Baada ya njaaNape kaamua kuongea ukweli.
Wakati wa shibe hakuyajua!!!!!
Baada ya njaaNape kaamua kuongea ukweli.
Nape aliyataka mwenyewe...alibip akapigiwa alidhani ni serikali ya zaman iliyokuwa ikiishiwa credit. Hii iko full ukibip unapigiwa on the spot. Kikubwa aache hasira atulie lakini hii style ya kuongeaongea haimsaidii.
Kama ni kinyago alichonga mwenyewe afu leo kinamnyima usingizi?
Yeye anasimamia Ukweli, hayo mengine sijuiBaada ya njaa
Wakati wa shibe hakuyajua!!!!!
Kqani alitimuliwa kwasababu gani? Si kusimamia ukweli?Nape ni mnafiki flani hivi....asingetimuliwa uwaziri angekuwa anaongea hivyo?..njaa ni mdudu mbaya sana.
Kinyago cha chato hakimsumbui NapeNape aliyataka mwenyewe...alibip akapigiwa alidhani ni serikali ya zaman iliyokuwa ikiishiwa credit. Hii iko full ukibip unapigiwa on the spot. Kikubwa aache hasira atulie lakini hii style ya kuongeaongea haimsaidii.
Kama ni kinyago alichonga mwenyewe afu leo kinamnyima usingizi?
Nape ni mnafiki flani hivi....asingetimuliwa uwaziri angekuwa anaongea hivyo?..njaa ni mdudu mbaya sana.
alipoatimuliwa uwaziri hadi akatishiwa pisto na usalama.
Basi hautufai nchini Kama unashindwa kusema ukweli kisa unaogopa kufukuzwa. Unasubiri utumbuliwe ndo uanzwe kuuongea pumba. Nape akaongea pumba tuKwani kuwa mbunge ndiyo kumzuia kusema ukweli?
Nahisi ameanza kujitambua,maana mwanzo alipokuwa asingeweza kuyasema haya maneno.
Hata mawaziri walioko madarakani, si kwamba hawayaoni yanayoendelea. Ila tu, watasemea wapi hali ya kuwa wamo ndani ya mfumo?
Hata 'iweje',Nape ni mnafiki flani hivi...Kqani alitimuliwa kwasababu gani? Si kusimamia ukweli?
Sasa hayo ya ukweli angesema kipindi yupo kwenye system. Na sio sasa anatupigia keleleLet him speak his mind...ni haki yake na sheria inamruhusu kufanya hivyo! Hata kama ni wewe unyang'anywe tonge mdomoni bila kuwepo sababu za msingi lazima utachanganyikiwa tu! Kama anayoyaongea hayaliingizi Taifa kwenye machafuko..kwa nini asiseme sasa!
Kuna ukweli eeh
Nape kaamua kuongea ukweli.
Nape ni mnafiki flani hivi....asingetimuliwa uwaziri angekuwa anaongea hivyo?..njaa ni mdudu mbaya sana.