Huyu nae ni mpenzi hewa

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
20,859
51,511
Nilikutana nae facebook sijawahi kumuona hata kwa sura ila tunawasilana watsap na tunapigiana simu wote tupo dar ila kila nikimuomba tuonane ananichenga tatizo kila mara ananiomba pesa tena ana kiwango chake maalumu 50,000,bahati mbaya kakuta nimezaliwa ocean road kila mara namkatalia je huyu sio mpenzi hewa kama wale wafanyakazi hewa wa magufuli
 
Nilikutana nae facebook sijawahi kumuona hata kwa sura ila tunawasilana watsap na tunapigiana simu wote tupo dar ila kila nikimuomba tuonane ananichenga tatizo kila mara ananiomba pesa tena ana kiwango chake maalumu 50,000,bahati mbaya kakuta nimezaliwa ocean road kila mara namkatalia je huyu sio mpenzi hewa kama wale wafanyakazi hewa wa magufuli
Huyo sio mpenzi hewa huyo ni mpenzi hema
 
Ocean Road ndo ilikuwa hospitali ya kujifungulia. Mi niliombwa 100,000 kaniambia ya nauli aje Dar yeye yupo Kagera, nikamuelekeza nenda kwa wakara hapo Bukoba mjini kachukue tikei ya Ndege, sijamuona tena online.
 
Back
Top Bottom