Huyu my number one simuelewi

Huyu my number one simuelewi

BABU KIZEE

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2013
Posts
452
Reaction score
72
Nimetokea kuwa na mahusiano na huyu mwanamke lakini ameonekana akiwa na wivu kupindukia akipiga simu kama ujapokea ni matatizo hata kama ulikuwa umetoka kidogo ukaiacha analamika mpaka anataka kulia , amekuwa ni wa kulalamika tu kwa nini simu yake sipokei, ukimwahidi kitu ukashindwa kukitimiza analalamika kweli sina muda mrefu nae ni kama mwezi sasa,lakini ananitia wasiwasi kuendelea nae. naombeni ushauri je, huyu mwanamke anaweza kuwa mzuri baadae kweli.
 
Sasa si umwambie kwamba upendi tabia hiyo kwahiyo abadilike.ikishindikana sepa.
 
kaa nae kama wiki bila kuachana nae hata kidogo....! mtakinaiana tu!
 
kaa nae kama wiki bila kuachana nae hata kidogo....! mtakinaiana tu!

Huuuu si ushauri ni kumtia mwenzako dhiki, sasa hatoruhusiwa hata kupokea sim, au hujaliwaza hili?
 
Cha msing ni kuzingatia Kwan baadh ya wanawake wameteseka kwenye mapenz na hua Kama mtu alowah kung'atwa na nyoka bas unyasi tu ukimgusa anashtuka........... Kijana pia anaweza akawa yeye ni mwiz na anawaza nawewe pia uta mwendea kinyume Kama anavyokufanyia, wengine ni pretending tu Kua makini
 
Mh! ndo umeamua kwenda kuniombea ushauri Jf,we km unaona ni kero siuniteme tu kupunguza kero mpk uje Jf. Inaonekana wazi huna uhakika na mapenzi yako kwangu na ndo mana unakerekwa nami.Usijali najivua mi mwnyw mkaka.It's me ur no one
 
Mie mwanamke kama huyo ndo nampenda coz ni rahisi ku-manipulate her emotions. Mwanamke akiwa na wivu inapendeza.
 
anaogopa kupokonywa tonge mdomoni, jaribu kumpa sababu za yeye kukuamini hopefully atapunguza wivu:embarassed2:
 
wanawake wa namna hiyo huwa wanapenda kweli sio utani na wanajali sana waume zao ila kasoro yao ni kwamba hawawez kuvumilia shida especially ya kifedha na upendo wao unakuwa ni too much mpaka unajuta kwa nn ulitongoza!!!!!!
 
Daah yaan anakupenda kichiz yaan, mm mwenyewe natafuta kama huyo yaan ful malovedove daaah
 
unanisema c ndiyo eeh! haya kuanzia leo mimi na wewe basi usinitafute!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:msela:
 
unanisema c ndiyo eeh! haya kuanzia leo mimi na wewe basi usinitafute!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:msela:

We na yeye basi Thubutu!!!!!!!!!

Uwe unapokea sim za mwenzio.....sio kuwa unalalamika tu na kutaka kulia.......
 
Mie mwanamke kama huyo ndo nampenda coz ni rahisi ku-manipulate her emotions. Mwanamke akiwa na wivu inapendeza.

Yaani ni rahisi sanaaaaaaa. Ila sasa hadi uwe na huo muda, saa ingine ukute huyu mdau anamchukulia kama kwa kuzugia tu si unajua vijana.
 
duh huyo wako ss yupo kama boy wangu..yan hao wangekua pamoja wangepatana kwel..mana ye mda wote anataka nikae na cm ..had choon..nkidelay kujibu text au cal yake anaanzisha valangat hlo..
 
Back
Top Bottom