Huyu mwizi poo kwanza

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,255
*Kuna mwizi mmoja kidogo aniue na cheko*

Mwizi mmoja alikwenda kuiba mbuzi usiku wa manane. Aliporudi akaacha amefunga yule mbuzi mlangoni kwake akaelekea kulala. Asubuhi wale wenye mbuzi wakafika pale. Wakaanza kubisha hodi kwa nguvu

*Mwizi:* Nani?
*Wale:* Tunaitaji mbuzi wetu
*Mwizi:* Kwani mbuzi hayupo hapo nje?
*Wale:* Yupo
*Mwizi:* Sasa si mumchukue, mna niamsha kwanini? Kwani mimi nilipoiba huyo mbuzi niliwaamsha?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…