Huyu mwanaume vipi!

Sijalalamikia idadi hata sehemu moja,nawapenda na ninawafurahia,ila boy ukitoa mimba hata moja au kama ulishamtoa msichana nakuombea Mungu asikupe mtoto hata wakubeba jina ili ujue uzito wa unayowaza
Mungu si mwanadamu!, Anachokuwazia Mungu ni tofauti kabisa na anachokuwazia mwanadamu. Mungu si mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…