Huyu mwanaume ni wa aina gani?

Janau
Janaume hill jinga, lingekuwa na busara lingekaa kimya halafu maisha yakaendelea. Eti even chumvi unasemaje ww?
 
Kabila gani uyo mwanaume mjinga?
 
Subir

Subiri umweke ndani huyo mchumba wako kwanza.

Ndipo utakapojua mwanamke so nduguyo.

Sali Sana yasikukute.
 
Bora huyo! Mtaani kwetu demu alifariki kwa kihoro! Alifumaniwa na mume redhanded lkn mume hakuchukua hatua yoyote, jamaa mgoni hakupigwa, mke hakuhojiwa wala kupewa kibano chochote, siku ya pili ikapita maisha yakaendela salama, ya tatu pia! Eeh demu akafa kwa presha ya kihoro!!!! Bora angemshushia kipigo mara elfu kuliko silent move alochukua ikamtoa roho mwenzie
 
Mwanamke niki pondo tu ndio wanashika adabu.... wanawake wana dharau sana... na binafsi kati ya vitu sipendi ni dharau na minyoso yaki pambuvu hasa kwa mwanamke.... kiukweli ntaku chezesha makofi tu manake hamna namna nyingine... na hapo ndio mapenzi yana noga na yana kua na heshima... hata demu wangu anajua kabisa niki kasirika ni shida, either atoke nje akae mbali au ni mchezeshe makofi... lakin ana nipenda na mimi nampenda ila upuuzi sitaki...Mwanamke ukisha muonyesha the other side of you mbona ana tulia tuli...
 
NGUVU za Giza znaeza kuhusika hapo otherwise huyo man ako na problems kwa akili
 
Na wewe mwanaume wa aina gani??
Mmbea [emoji53]
 
Asante kwa kushare hicho ulichokishuhudia ambacho kwa kweli si cha kawaida, mwanaume aliyekamilika hawezi kuwa hivyo wanaokuponda na pengine wako hivyo hivyo otherwise haijakaa vzr kbs hiyo hata kama huyo mwanamke angekuwa nani hawezi kuwa na utovu wa nidhamu iliyopitiliza namna hiyo, chukulia hiyo issue km case study ya ndoa.
 
Mwanzoni mwanzoni mwa hii sredi nilipoanza kuipitia nilidhani mleta mada mdada.
Dah!, kumbe kidume mwenzangu bana!!
Wanaume wenzangu tubadilike kidogo kwenye uandishi wetu.
Mwanzoni mwa hii mada imekaa ki-Everlyn Chumvi, Badili Mwenendo, Angel Plastic..Namna hii noma.
 
hahahaha majanga yani humu burudani kweli...anaweza kuwa boya kweli ila nadhani bora boya kuliko anayenyanyua visu na kumuua mkewe.....ila da mapenzi sio huyo mwanamke ataendelea tu kwa namna mwanaume anavojiweka...hapo mwanaume kafeli aisee na kawekwa kwenye cupa sio bure....au ustaarabu wake umepitiliza au upole umezidi...inatakiwa kila kitu kwa kiasi
 
Umenikumbusha katika mapito yangu nilikuaga na kadem flan kalikua kanachepuka balaa, lkn nikajifanyaga kuzima data kama sion kitu vile, nilikua naishi nako, sikutaka kumfatilia sababu alikua ni msafi wa nje tu ndani hoi, alikua mvivu sana kitandani sasa kituko nami nikatafuta changu nikaanza kutusua uko, akawa anashangaa mbona siulizi anapochelewa kurud, kumbe mimi nashukuru
 
Inawezekana jamaa wa watu hadindishi na ndiyo maana inamlazimu kunywea tu. Uanamume ni kula papuchi kwa ufasaha. Ukishindwa kula basi uanamume ndiyo unaishia hapo na madaraka yote ya ubaba yanayeyuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…